Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Kwani ukiropoka unaweza kuyameza maneno ulisema?😂😂😂
Naniliu akatubu kwa baba Kipi na baba Fred
NdioHii nchi...
Wazee hawa wapumzike.
Ye ana tabia Nzuri!!??
aka nyamitakoKijembe kwa kijana Sauli.
TABIA mbaya hiyo, Lugha ya staha itumike.aka nyamitako
Wote hao ni fisi majiKinana ana TABIA mbaya? Angekuwa na TABIA mbaya asingekemea wenye vyeo vikubwa TABIA mbovu!!
Ameshatubu Kwa kasisi wa Kanisa lenu moja la mitume!!😂😂😂
Naniliu akatubu kwa baba Kipi na baba Fred
Vita ya panzi ,furaha ya kunguruKinana ana TABIA mbaya? Angekuwa na TABIA mbaya asingekemea wenye vyeo vikubwa TABIA mbovu!!
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Nan sasa kunguru!!Vita ya panzi ,furaha ya kunguru
Wanajisahihisha.CCM ina mambo mengi sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanajisahihisha.Ndiyo Mtajua Kimepasuka Muda Mrefu Sana
B-For BrotherHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Wanajisahihisha.
Upinzani pia wakosoane hadharani, hii huleta AFYA ndani ya vyama vya siasa.
Wameanza kusimanganaHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni[emoji120]
..anamzungumzia Bashite.
..nani anamheshimu mwanaume[bashite] mwenye maumbile ya kike?
..ndio maana Nabii Lema anasema Bashite anatakiwa kupewa massage kama wakinadada.