Kinana: Kuna watu Wana vyeo vikubwa, ila hawaheshimiki Kwa TABIA zao mbaya

Kinana: Kuna watu Wana vyeo vikubwa, ila hawaheshimiki Kwa TABIA zao mbaya

Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.

Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?

Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?

Karibuni[emoji120]
Huyu Mzee anazeeka vibaya sana





Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Ujumbe mzuri. Mfano mtu kama yule mbunge wa Tabora mjini anagombana na hawara yake na clip yao inasambaa Tanzania nzima, sasa huyo ni mbunge kweli au muhuni.
 
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.

Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?

Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?

Karibuni🙏
atakua ni Tindo Lusi huyo wa chagademia
 
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.

Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?

Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?

Karibuni🙏
Bashite
 
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.

Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?

Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?

Karibuni🙏
Atakua anawasema wazee waliostaafu ndani ya ccm mfano mzee Malichela, Makamba, n.k wazee umri umeemda lakini wapo tiyari ona nchi inaangamia na wao kaa kimia
 
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.

Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?

Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?

Karibuni🙏
CCM😘😂😂😂😂🤐
 
Back
Top Bottom