Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mzee anazeeka vibaya sanaHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni[emoji120]
Hapana,kaamua tu kumsema Marehemu, picha zilikua haziendi tangu mwanzo!!Paul Makonda
atakua ni Tindo Lusi huyo wa chagademiaHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni🙏
Una ugomvi na Tindo? Ngoja aje!!atakua ni Tindo Lusi huyo wa chagademia
sina ugovi mbornaUna ugomvi na Tindo? Ngoja aje!!
🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣💺Kwakweli kumekucha.🔥
Alafu siku zote Mungu toka kaiumba Tanzania haijawai pungukiwa au kosa matukio ya kila siku,ambayo ndiyo yanafanya Nchi iendee!!Mpaka January 2024 tutashuhudia mengi.
Yajayo yanasikitisha 🤣🤣🤣💺Alafu siku zote Mungu toka kaiumba Tanzania haijawai pungukiwa au kosa matukio ya kila siku,ambayo ndiyo yanafanya Nchi iendee!!
Meno ya NdovuKinana ana TABIA mbaya? Angekuwa na TABIA mbaya asingekemea wenye vyeo vikubwa TABIA mbovu!!
BashiteHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni🙏
Atakua anawasema wazee waliostaafu ndani ya ccm mfano mzee Malichela, Makamba, n.k wazee umri umeemda lakini wapo tiyari ona nchi inaangamia na wao kaa kimiaHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni🙏
CCM😘😂😂😂😂🤐Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni🙏
Nipo nangojea ataje hizo tabia mbaya ni zipi? Na matendo gani wamefanya kwenye jamii hao anaowatuhumuKwanini asiwataje na huku ni Mwenyekiti wao?
Kuuza wanyama na meno ya tembo ni tabia nzuri?Kinana ana TABIA mbaya? Angekuwa na TABIA mbaya asingekemea wenye vyeo vikubwa TABIA mbovu!!
TemboKinana ana TABIA mbaya? Angekuwa na TABIA mbaya asingekemea wenye vyeo vikubwa TABIA mbovu!!
Yaani hapo ndio wamekosoana?Wanajisahihisha.
Upinzani pia wakosoane hadharani, hii huleta AFYA ndani ya vyama vya siasa.