Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Fikiria chama kinaona muuaji na mporaji ndiye anayefaa kuwa kiongozi wao!! Bila shaka wamevutiwa na uovu, ndiyo manataka mwovu awaongoze katika kutenda na kuishi na uovu.
CCM ni alama ya uovu, laana na ushetani, ndiyo maana wapo radhi na wanafurahia wanapokuwa na kiongozi mwovu zaidi anayeweza kuujenga na kuupalilia uovu.
CCM ni alama ya uovu, laana na ushetani, ndiyo maana wapo radhi na wanafurahia wanapokuwa na kiongozi mwovu zaidi anayeweza kuujenga na kuupalilia uovu.