Kinana: Kuna watu Wana vyeo vikubwa, ila hawaheshimiki Kwa TABIA zao mbaya

Kinana: Kuna watu Wana vyeo vikubwa, ila hawaheshimiki Kwa TABIA zao mbaya

..anamzungumzia Bashite.

..nani anamheshimu mwanaume[bashite] mwenye maumbile ya kike?

..ndio maana Nabii Lema anasema Bashite anatakiwa kupewa massage kama wakinadada.
Hajataja Jina lakini.
 
Tunaomba ka video kidogo Ili sisi tulioko huko nyonyo's zone tujionee!

Samia Samia Samia for president 2025, huyo January wao wakampe Urais wa Chuo.

Samia naamini unajua sisi tuko na wewe ila watch it mamangu jmn!
 
Tunaomba ka video kidogo Ili sisi tulioko huko nyonyo's zone tujionee!

Samia Samia Samia for president 2025, huyo January wao wakampe Urais wa Chuo.

Samia naamini unajua sisi tuko na wewe ila watch it mamangu jmn!
Ingia U-Tube, Kusaga Tv, IPO video.
 
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.

Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?

Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?

Karibuni🙏
MAKONDA
 
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.

Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?

Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?

Karibun
Atakuwa anamsema Mwenyekiti wao bitozo
 
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.

Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?

Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?

Karibuni[emoji120]
Hakika kajisema yeye. Kwani nani nchi hii anayemfahamu Kinana na moyoni mwake anamheshimu?
 
Back
Top Bottom