- Thread starter
- #81
Hajataja Jina lakini...anamzungumzia Bashite.
..nani anamheshimu mwanaume[bashite] mwenye maumbile ya kike?
..ndio maana Nabii Lema anasema Bashite anatakiwa kupewa massage kama wakinadada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajataja Jina lakini...anamzungumzia Bashite.
..nani anamheshimu mwanaume[bashite] mwenye maumbile ya kike?
..ndio maana Nabii Lema anasema Bashite anatakiwa kupewa massage kama wakinadada.
CCM Huwa Wana utamaduni wa kujisahihisha.
Tumtafute nzaramo nmoja atufafanulie.🤔Nan sasa kunguru!!
Watu wa uswahilini tunaweza yafananisha na mambo ya vimbao na kausha damu.🏃🏃CCM ina mambo mengi sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
CCM Huwa Wana utamaduni wa kujisahihisha.
Ingia U-Tube, Kusaga Tv, IPO video.Tunaomba ka video kidogo Ili sisi tulioko huko nyonyo's zone tujionee!
Samia Samia Samia for president 2025, huyo January wao wakampe Urais wa Chuo.
Samia naamini unajua sisi tuko na wewe ila watch it mamangu jmn!
MAKONDAHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni🙏
Kwamba kinana ana TABIA njema?MAKONDA
Atakuwa anamsema Mwenyekiti wao bitozoHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibun
Hakika kajisema yeye. Kwani nani nchi hii anayemfahamu Kinana na moyoni mwake anamheshimu?Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni[emoji120]
Mimi mwenyewe sina majibu ndugu yangu.Hapo sasa, Labda Lucas Mwashambwa atueleweshe.
Tabia nzuri wapi? Waulize faru wa poriniHii nchi...
Wazee hawa wapumzike.
Ye ana tabia Nzuri!!??
Ikiwa huna majibu, nawe una TABIA mbaya.Mimi mwenyewe sina majibu ndugu yangu.
Kweli amefundwa? Kwa maadili ya kabila au nchi gani?Alikuwa msibani, asingeweza kuwataja, sababu Yeye amefundwa, ana siha njema.
Rudia kusoma uziMbowe na Lissu
Pia Kuna Uzi umeandika hivi punde kuwa Ndugu Lucas kuwa :Mimi mwenyewe sina majibu ndugu yangu.