afaiHuu ni ujuha kwenye siasa kaka yangu Kinana.
Kila siku askari wa usalama barabarani wanapambana kukomesha upakiaji wa mishikaki kwenye bodaboda.
Wewe kwa kutaka kupata wapiga kura unaamua kuwaruhusu hao bodaboda wabebe mishikaki?
Yaani unathamini kura kuliko uhai wa watanzania?
Kinana hapa umekengeuka.
Watanzania tuamke hawa ccm wamekusudia kutumaliza makusudi.
View attachment 2701108
Bodaboda wapo tu kama mazuzuWanajua wanawaongoza wapmbv na wajinga ,huoni hapo bodaboda wanashangilia
Ova
Lkn ccm ndiyo wamemuaminiHafai kabisa!
afai
Mungu utuhurumie hawa viongozi wetu kwakweli ni zaidi ya tunavyo fikiria, yaani kweli kuruhusu kuvunja sheria kwaajili ya manufaa ya wao kubaki madarakani? Kitaalamu hawaangalii wao wanaangalia wao kupata kupigiwa kura? Mungu awasamehe.Nimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barab
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Sio Boda boda tu hata wenye mamalaka na wasomi utawasikia tena wanaruhusu na kulishangilia hilo kwa nguvu zote.Bodaboda wapo tu kama mazuzu
Hao hata yakiwakuta siyo wakuonewa huruma kabisaBodaboda wapo tu kama mazuzu
Mimi nilishawadharau kama machingaHao hata yakiwakuta siyo wakuonewa huruma kabisa
Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakaribia kufika tamati ya uchunguzi wangu! Kwamba watu wenye vichwa visivyo na kisogo, yaani flat akili zao ni ndogo sana"
Na ndomana karibu ya watu wote wenye utindio wa ubongo, vichwa vyao nyuma vipo flatNakaribia kufika tamati ya uchunguzi wangu! Kwamba watu wenye vichwa visivyo na kisogo, yaani flat akili zao ni ndogo sana"
si kinana wala mtoto wake SABRA anayepanda bodaboda so hajui kinachotokea huko barabarani shenzi huyuNimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Huyu mzee ni mjinga sn anataka ndugu zetu wafe akose wa kumzuia kuuza temboNa hawa ndio think tank ya hiki chama cha majambazi.
Anachohitaji ni kupata kura tuHuyu mzee ni mjinga sn anataka ndugu zetu wafe akose wa kumzuia kuuza tembo
Mzee ni mshenzi sn anataka ajali ziwe nyingi zaidiSijajua kuna uhaba wa Bodaboda au ni nini hasa?!