Inaonekana hata hujui siasa ni nini.Hizo huduma zote za jamii zinapangwa na kusimamiwa na wanasiasa sasa utaachaje kuijadili siasa kwanza.Swala la ubinafsi waviongozi ilo tatizo tuulizwe sisi wananchi kwasababu sisi ndio ambao hatujielewi hadi viongozi tunaowachagua wenyewe wanakua hivyo.Kufanya siasa kwa Uhuru ndio muhimu kuliko kero za wananchi kuhusiana na tozo na mfumuko wa bei, kero za maji na umeme?
Kataa au kubali wanasiasa wa Afrika ni wa Binafsi, wanashughulikia matumbo yao tu.
Umeandika Kama uko kijiweni fln hv ,au tawi ndogo la ccmKinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani
Well haya sasa tutakubali kila kitu maana wao ndio wameshika mpini kwa mikono miwiliHapakuwa Bado na mfumo imara wa Vyama mbadala vya kuipokea CCM.
Matatizo yetu makubwa yalianzia kwenye NDOA ya kulazimisha na pwani, tumewalipia umeme tangu uhuru Hadi Magu alipotikisa kdg.
Mikopo tukikopa wanadai Tuigawe pasu ila kulipa wanasema alipe MUME. Serikali 3 zitafaa sana, Nchi itapumua.
Mwanasiasa usitegeme kukuletea mabadiliko....Hakuna upinzani Tanzania. Kinana anawaambia nyie tulieni tule wote. Familia na vilembwe wetu wafaidike. Achaneni na majority ya watanzania wajinga hohehahe.
Nawapa wanasiasa wachumia tumbo, kuamua kukaa na CCM huku wakijua ccm ni wanafiki ni kusaliti wafuasi wao.
Kizazi hiki cha bongo flevaHawahawa wengi wao wanaishi kwa shemeji zao? Haitawahi tokea believe me
Usimuweke mdhamana mwanasia hata siku mojaMkutano mkubwa kuongelea siasa eti maelewano wakati nchi ina hali ngumu
Hawajadili kutuvusha bali wanawaza matumbo yao tu
Hapo wanaahidiwa hela tu hakuna jipya
Unafanya siri kwani vita hii
Kinana au Mbowe haiwahusu sio? Kwaiyo hiyo mikutano ya siasa watafanyia Zimbabwe?
Ndio semina Inafanyika humo humo kuwafunda
..... ni hatari na nusu!!Mahali anapokuwepo Chenge sina imani napo!
Viongozi wa chadema lazima wapewe semina ya utangulizi ili wasije toka hapo na kuanza kuongea ongea tu hata kabla mazungumzo hayajafika mwisho
Na kweli MkuuUsimuweke mdhamana mwanasia hata siku moja
Ova
Ndio lazima wapewe semina ili wafuate maadili ya kikao
Mbowe ni "mwenyekiti" wa CHADEMA. Kukaa kwenye kikao na Kinana ni kujishushia hadhi yake.
Ilifaa Mbowe akae na Samia ambaye pia ni mwwnyekiti wa CCM.
Ifikie mahali hawa wenyeviti wa vyama vya upinzani watambue heshima ya nafasi waliyonayo kama anavyoitambua mwwnyekiti wa ccm.
Hapana mkuu Mimi nafurahi wakikaa pamoja viongozi wetu ili kujenga mshikamano na upendo miongoni mwetu ili tuishi kwa amani na kuaminiana, Sote tunajenga Taifa moja hivyo lazima kila mtu ajione Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu na ajisikie fahari kuwa sehemu ya TanzaniaPunguza dharau. Unaona aibu Kinana kukakaa na Mbowe wakati kila siku wewe unawasema vibaya CHADEMA.
Duh.Hii comment iko auto? kila mahali naikuta
Mwenyewe mwenyewe "Designer"Duh.
Wewee jamaaa Political sayansi ilikupita nyuma sasa unaongelea mlango wa mbele. Yaani sjapata ona msomi yeyote katika ulimwengu huu akawa mda wote ni kusifia hata vitu vya ovyo ovyo sjapata ona.Naamini viongozi wangu wa CCM lazima wamewafunda na kuwafundisha masuala ya kiuongozi ya kuwa na vifua na kuwa Wasiri wakati vikao vinaendelea, Bila Shaka lazima semina ilitangulia ya kuwapa viongozi wa chadema ili wajuwe umuhimu wa wao kushiriki katika vikao hivyo na Nini kinapaswa kufanyika wakati mazungumzo yanaendelea ndio maana unaona viongozi wa chadema wamegoma kusema kilichozungumzwa maana wameshalishwa madini toka CCM ya namna ya kuwa na subiri ya midomo yao,
Hicho ndicho huwa naandikaga humu kuwa kiongozi unapaswa kuwa na kifua ,Mtulivu,Busara,Subira na hekima, kujuwa wakati gani uongee na wakati gani ukae kimya, siyo kupelekeshwa tu na mihemuko ya vijana wao wanaowaka Kama Moto wa petroli, Naamini Nguli wa Siasa ndugu Kinana amefanya kazi kubwa ya kuwaelimisha viongozi wa Chadema ndio sababu ya kuona wamebadilika kitabia na kuwa Wasiri
Nawapongeza katika hili na waendelee hivi hivi mpaka mwisho wa mazungumzo yao, wawe wenye Subira,hekima,busara,utulivu na kujuwa umuhimu wa usiri wakati mazungumzo yanaendelea, siyo kukimbia tu kuripoti mambo ambayo hayapaswi kuripotiwa au kutolewa hadharani wakati bado hawajafika mwisho wa mazungumzo, lazima wajuwe hata mwisho wa mazungumzo Ni Nani atapaswa kuzungumza kwa kila upande hasa chadema maana kwa CCM hakuna shida maana ndio chama kiongozi kinachojuwa utaratibu unaopaswa kuwepo na kufuatwa
Kiukweli Mimi Lucas Mwashambwa Najivunia Sana kuwa mwanachama wa CCM, kwa kuwa hiki Ni chama kilichokomaa kisiasa, chenye hadhina ya viongozi katika kila idara ,CCM Ni chuo Cha uongozi na mahali pekee ambapo wanachama wote tuna nafasi sawa ,hakuna ubaguzi Wala unyanyasaji ndani ya CCM,
Kazi iendeleee