KINANA: Urais wa Samia sio wa Kikatiba, amepatikana kwa Uchaguzi

Unafikiri atasemaje? Kazi kutetea tumbo tu.
 
Tanzania kungekua na wasomi wenye akili timamu, huu ufafanuzi wa kinana ungetosha kumfanya raisi samia asigombee 2025, maana muda wake utakua umeisha.
 
Huo Ushahidi mbona hujawahi kuutoa hadharani? Ni kama hivyo, basi Mwambie Kinana kuwa mama yenu hakupata kuchaguliwa na sio Raisi kwa mjibu wa Katiba kama anavyodai.
Kama hujawahi kuona basi wewe hukupiga Kura mwaka 2020 na ulyawezekana wewe ni Mrundi. Watanzania wenye AKILI TIMAMU wanajuwa 2020 hakukuwa uchaguzi. Angalia tu setup/composition ya Bunge tulilonalo uniambie kama kweli tuliwachagua wale
 
Kinana mzee wetu kuna sehemu umechanganya kidogo naomba kurekebisha.

Makamu wa Raisi hapigiwi kura, ndio maana hata Mpango ni makamu wa Raisi na hajapiguwa kura

Kwa katiba yetu hii, imeqcha tafsiri rahisi tu kuwa Raisi sio lazima apigiwe kura na wananchi nakushinda uchaguzi. Mfano ni kwa Mpango, Leo ikitokea Mama Samia hayupo, mpango atakuwa Raisi.

Mzee wetu kinana ipo hivi, chochote kinachotokana na katiba ni Cha kikatiba. Magufuli, JK, mkapa wote pia walikuwa maraisi kikatiba kwa kuwa katiba ndio iliwaweka madarakani kwa kushinda uchaguzi.

Hivyo hata mama Samia ni raisi wa kikatiba.

#kazi inaendelea#
 
Kama hujawahi kuona basi wewe hukupiga Kura mwaka 2020 na ulyawezekana wewe ni Mrundi. Watanzania wenye AKILI TIMAMU wanajuwa 2020 hakukuwa uchaguzi. Angalia tu setup/composition ya Bunge tulilonalo uniambie kama kweli tuliwachagua wale
Hunaga akili
 
Kina Yuko kazini, fafanua kdg. Ana agenda gn behind?
 
Unataka katiba iitishe uchaguzi rais akifa? Si walioshindwa uchaguzi watafanya njama za kumuua aliyeko madarakani ili wajaribu tena kwenye uchaguzi mpya?
Aseeee, kauli ya kinana ijadiliwe Kwa mapana, icjekuwa wanaogopa uchaguzi wanataka wawe wanapokezana bila ridhaa ya wananchi.

Nyerere hukuliona hili!!!!!
 
Kina Yuko kazini, fafanua kdg. Ana agenda gn behind?
Alitoa kauli hiyo mjini unguja kwenye kongamano mahususi la kumpongeza RAIS wa jamhuri kwa Kazi kubwa na iliyotukuka anayowafanyia Watanzania Bila kupumzika....Kinana ni VC wa CCM, CCM ni chama cha siasa, na Kazi/lengo kubwa na namba moja ya chama chochote cha siasa ni kushinda chaguzi na kushika madaraka...kwa muundo wa CCM, Kinana ndio kiongozi fulltime wa kuhakikisha ilo linafanyika wakati Chairperson wake anaongoza Executive... ingekuwa soccer basi wawili Hawa ni striking partners...mmoja chamani na mwingine Serikalini...Kazi inaendelea...
 
Rais Samia ni wa Kikatiba iwe amechaguliwa moja kwa moja na wananchi au iwe kaingia madarakani baada ya Rais aliyekuwepo kufariki (kama ilivyo sasa) njia zote ni za Kikatiba,kama ingekuwa ameingia kwa mapinduzi hapo ndio tungesema sio rais wa Kikatiba.
 
Huyu Al shaabab naye atuondolee ujangiri wake hapa
 
Kwa mantiki hiyo mama Samia hapaswi kugombea uchaguzi ujao!
Ngoja nisaidie kujibu ki'Kinana', kama inawezekana.

Awamu ya sita hii, itakuwa imetimiza miaka mitano hapo 2025; atakuwa kabakisha miaka mitano mingine, itimie kumi!
 
Ukiona hivi ujue Uzee tayari, na vile alikuwa anaongea na mangumbaro menzake maccm
 
Ngoja nisaidie kujibu ki'Kinana', kama inawezekana.

Awamu ya sita hii, itakuwa imetimiza miaka mitano hapo 2025; atakuwa kabakisha miaka mitano mingine, itimie kumi!

Utata mtupu!
 
Mbona Samia mwenyewe alishakiri kuwa umemuangukia tu.

Sasa ikitokea nae akaenda kwa baba huyu Mpango hatakuwa Rais?

Maana hajapigiwa kura kadiri ya Kinana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…