KINANA: Urais wa Samia sio wa Kikatiba, amepatikana kwa Uchaguzi

KINANA: Urais wa Samia sio wa Kikatiba, amepatikana kwa Uchaguzi

Hapo ccm penyewe hawataki kumsikia wala kumuona huyo mama, ukiachana na hao walamba asali!
 
Utata mtupu!
Mkuu, 'Tindo', mimi sioni utata wowote; maadam CCM walishawaona waTanzania kuwa ni watu wasiokataa lolote linalotoka kwao ( CCM.).

Ninakuhakikishia ikifika wakati hawawezi kamwe kuona aibu yoyote ya kusema lolote, kama anavyofanya kwenye taarifa iliyoletwa hapa kwenye mada hii tunayoijadili sasa hivi hapa.

Hebu jiulize, haya anayoyasema hapo juu kweli ni mambo ya kuwaambia watu walio na akili zao nzuri kichwani? Hata hivyo, kayasema haya ili iweje hasa? Anataka watu waelewe vipi na kwa faida gani?

Nchi yetu hii tumerudi nyuma sana katika kila jambo unalotaka kulichunguza kuona ufanisi upo wapi.
 
Kwa kule zanziba wamepokea kwa mikono miwili na miguu kabisa
 
Kwani Uchaguzi wenyewe haupo kikatiba? Hivi inakuwaje mtu mzima na akili zake anatoa boko kama hili? Kila kitu kipo kikatiba. Na anachopinga ni ukweli usiopingika. Uko wazi.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hasasan ni Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amepatikana kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa kupigiwa kura na wananchi.

Kinana ametoa ufafanuzi huo jana wakati akizungumza na wana CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja visiwani Zanzibar kwenye Kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kutekeleza vema Ilani ya Uchaguzi Mkuu ya mwaka 2020/2025.

“Nataka niseme na vizuri Watanzania wakajua tangu Rais Samia achukue uongozi wa taifa letu kuna kauli nimekuwa nikisikia baadhi ya kauli kwamba Rais Samia ni Rais wa Katiba. Kauli hii ina ukweli lakini haina ukweli.

“Inaukweli kweli kwasababu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema kila chama kitaweka mgombea na mgombe mwenza na Katiba inasema mgombea Mwenza na mgombea wanafasi moja ya kupiga kampeni ya chama chao na kila Chama kinapochagua Mgombea Mwenza,”amesema Kinana.
============

Amefafanua CCM hakimchagua mgombea mwenza kwa kucheza bahati nasibu ya kutumbukiza halafu tuangalie nani kapata nani kakosa bali wameweka sifa, kwa kuangalia uwezo, kukubalika , anafaa ,uwezo wa kufanya kampeni, , anaweza kuleta kura nyingi na mwisho wanajiuliza iwapo mgombea kwa sababu yoyote atakuwa hayupo au ameondoka madarakani je mgombea mwenza atamudu nafasi ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vigezo vyote hivyo vilipimwa kwa Samia.

“Anaweza ndio , ana mudu, ndio, anajua kazi yake ndio, anaweza kufanya kampeni ndio, anaweza kumsaidia mgombea na kuleta kura ndio. Mwisho iwapo mgombea kwasababu yoyote ataondoka madarakani kwa njia za kidunia au zake Mwenyezi mungu anaweza kuchukua nafasi hiyo wana CCM tukajiridhisha ndio anaweza.

“Kwa hiyo kwa wale wanaosema huyu ni Rais wa Katiba si kweli , Rais Samia Suluhu Hassan alipimwa kabla ya kupewa hiyo nafasi, bahati nzuri mimi nilikuwa Katibu Mkuu wa Chama, nilishiriki vikao vya awali mwaka 2015 na wengine walikuwepo kwenye vikao, hayo maswali yote tulupojiuliza tukasema anaweza ,ana mudu hiyo kazi, anaongeza kura, ana uzoefu, anakifahamu chama cha mapinduzi lakini kama anahitajika kuwa Rais anaweza.

“Sasa unaposema Rais Samia ni Rais wa Katiba hakuchaguliwa sio kweli lakini kubwa zaidi Rais anapopigiwa kura na mgombea mwenza anapigiwa kura na kabla haijafika muda wa kupiga kura iwapo mgombea mwenza Mwenyezi Mungu atamchukua uchaguzi utasimmamishwa.”

Ameongeza kwa kueleza “Kwa nini usimamishwe? Kama kweli yeye ni Rais tu wa Katiba tuendeee kupiga kura mambo yaishe .Mwaka 2005 tulikuwa na mgombea mwenza wa CHADEMA Jumbe Rajab Jumbe mwenyezi Mungu akamchukua , uchaguzi ulisimamishwa, kwanini ulismamishwa? Kwasababu na yeye ananafasi muhimu hawezi rais wan chi akapigiwa kura au mgombea akapigiwa kura kama mgombea mwenza hayupo.

“Wanasema Rais Samia ni Rais wa Katiba hawasemi kweli, Rais Samia ni Rais aliyetokana na mchakato wa uchaguzi , alipopigiwa kura Rais Magufuli na Samia alipigiwa kura hapo hapo kama rais aliyemtangulia angekuwa ameondoka madarakani kwa kujiuzulu au kwasababu nyingine yoyote angekuwa Rais lakini kwasababu za Mwenyezi Mungu Rais Samia amechukua dhamana.

“Kwanini basi uchaguzi wa Chadema mwaka 2005 ulisimamishwa? Kwasababu wote wawili wanatokana na utaratibu wa Katiba uliowekwa kwa hiyo Rais Samia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wale wanaosema ni Rais wa Katiba wana ajenda yao, msiwasikilize. Kama hawajui au wanajifanya hawajui , nadhani sasa watajua, nilisema wanaosema Rais Samia ni wa Katiba hawasemi kweli na nimetoa maelezo.

“Sasa nitoe upande wa pili kweli ni Rais wa Katiba.Katiba inasema hivi kila Chama kitateua mgombea na mgombea mwenza, kwa hiyo kila Chama kinateua Mgombea na Mgombea Mwenza , Rais au mgombea anatokana na matakwa ya Katiba ya Jamhurii ya Muungano wa Tanzania.


“Mgombea mwenza ni matakwa ya katiba ya Jamhuri ya Muungano , kwa hiyo anateuliwa Samia kuwa mgombea mwenza ambaye baadae anakuwa Rais anatokana na matakwa ya Katiba kwa hiyo Rais Maguli ni Rais wa Katiba , unapendekezwa na chama chako, uakwenda kwa wananchi lakini hupigiwi kura peke yako unapigiwa na mgombea mwenza.

“Iwapo hayupo uchaguz unaahirishwa , kwa hiyo nimalize kwa kusema tukisema kwamba Rais Samia ni Rais wa Katiba husemi ukweli, Rais Samia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.nchi ya Marekani Rais wa sasa ni Rais wa 46 , katika marais 46 waliowahi kufariki kabla ya muda wao walikuwa marais wa nane baadae wakachukua wagombea wenza ambao baadae wakaja kuwa marais,” alifafanua.

Aliongeza kuwa, pamoja na hayo nchini Marekani hawajawahi kuwaita Marais hao ni WA katiba, “lakini hapa Tanzania wanaotaka kukoroga mambo wanakwambia Rais Samia ni Rais wa Katiba.”

Katika hatua nyingine, Kinana alifafanua kuwa, katika kudhirisha sifa za uongozi wa Rais Samia ameweka alama kubwa za maendeleo katika kila mkoa wilaya na shehia nchi nzima.

“Yote haya ya mefanyika katika muda mfupi wa mwaka mmoja wa uongozi wake
fedha za maendeleo zimetokana na ukusanyaji mkubwa wa kodi kwa njia ya hiyari, fedha za misaada na mikopo zilikuja kotokana na kukubalika kwake duniani.

SHAKA ASEMA RAIS SAMIA,DK.MWINYI 2030

Kwa upande wake Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, tikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameweka wazi kwamba kwa kazi nzuri anayoifanya Rais Samia na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kuwatumikia na kuwaheshimisha Watanzania, kuiheshimisha Afrika na Dunia awataendelea kuwa madarakani hadi 2030.

Amesema kwa pamoja wamekuwa wakifanya kazi kubwa ya kusimamia maendeleo endelevu na kudumisha na kuimarisha muungano.

“Mitano kwa Rais Samia haina mjadala biashara imekwisha, kwa mujibu wa Katiba ya Chama chetu, Katiba yetu na utamaduni wetu huu mjadala haupo tena.Kama kuna mtu ana ndoto, hizo ndoto zikae pembeni Dk.Mwinyi tunamalizana 2030 , Chama hiki kina msingi na msingi wake mkuu ni Katiba, Kanuni na taratibu lakini kina utamaduni wake , hivyo viongozi hawa watatuvusha mpaka 2030 halafu ndio tunaangalia Katiba inasemaje.

JAMHURI

Huyo mwindaji haramu naye hata akipindisha maneno namna gani, ukweli utabaki pale pale kwamba urais wa Hangaya haukupatikana kwa mchakato wa uchaguzi. Kura alizopewa 2020 zilikuwa za nafasi ya VP. Hajawahi kuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwaomba wapigakura wamchague kuwa Rais wa JMT.

Mbona wabunge wa viti maalumu na wale wa kuteuliwa na Rais hatuoni shida kuwavika taji hilo (kuwatambua kwa chapa hiyo)?
 
Unafikiri Kwa kutumia kwato badala ya Misuli ya Kichwa. Mimi nimchukie kwani Ndio kwamba Ni Demu kaniacha? Hebu tuwekee hapa Utafiti wa kuonyesha mama anakubalika hapa Nchini? Hebu tusaidie Toka mama ashike madaraka umeona ameshaonana na Kiongozi gani Duniani Mwenye ushawishi? Nakupa huo mfano tu utoshe kukuonyesha kuwa sio watanzania tu wasiomuona mama kuwa ni Kichwa Bali hata wa huko Duniani.
Ok yote uliyosema ni sahihi, But she is still our president.
Huna unachoweza kubadili katika mamlaka yake
 
Huoni namna alivyo boresha huduma za Afya,maji,umeme na Sasa mama ameweka nguvu kwenye kilimo kwa kuvunja rekodi ya kutoa Ruzuku na kupelekea Bei kushuka katika msimu ujao

Huoni namna uwekezaji unavyoongezeka hapa nchini kwa Sasa baada ya wawekezaji kuwa na Imani na serikali na uongozi wa mama yetu, Jambo litakaloongeza ajira kwetu vijana

Huoni mafuriko ya watalii kwa Sasa yaliyo tokana na kazi kubwa aliyoifanya mh Rais kuitangaza nchi yetu na vivutio tulivyo navyo kupitia Royal Tour

Huoni namna nchi ilivyoTulia kutokanaa na juhudi kubwa za mh Rais kujenga umoja na mshikamano wa kitaifa Hadi Sasa wapinzani wanahuburi juu ya amani mshikamano na umoja
Aiseee

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Hii inaonyesha jinsi elimu yetu ilivyo duni. Hata kuchambua mambo kisomi ni shida! Katiba ipo inajieleza vizuri sana licha ya kuwa ni ya chama kimoja! Tatizo nililoona kwenye katiba yenyewe haikufafanua sifa za mgombea mwenza ili aweze kushika wadhifa wa rais kama aliyepo atafariki. Na kama hizo sifa hana anapaswa kushikilia kwa muda gani hadi uchaguzi mwingine ufanyike. Kwa maoni yangu SSH anapaswa kukalia hicho kiti kukamilisha ngwe ya pili ya Rais Magufuli. Kama ana sifa za kugombea urais 2025 achukue fomu agombee hiyo nafasi kwa kupigiwa kura na wananchi.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hasasan ni Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amepatikana kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa kupigiwa kura na wananchi.

Kinana ametoa ufafanuzi huo jana wakati akizungumza na wana CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja visiwani Zanzibar kwenye Kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kutekeleza vema Ilani ya Uchaguzi Mkuu ya mwaka 2020/2025.

“Nataka niseme na vizuri Watanzania wakajua tangu Rais Samia achukue uongozi wa taifa letu kuna kauli nimekuwa nikisikia baadhi ya kauli kwamba Rais Samia ni Rais wa Katiba. Kauli hii ina ukweli lakini haina ukweli.

“Inaukweli kweli kwasababu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema kila chama kitaweka mgombea na mgombe mwenza na Katiba inasema mgombea Mwenza na mgombea wanafasi moja ya kupiga kampeni ya chama chao na kila Chama kinapochagua Mgombea Mwenza,”amesema Kinana.
============

Amefafanua CCM hakimchagua mgombea mwenza kwa kucheza bahati nasibu ya kutumbukiza halafu tuangalie nani kapata nani kakosa bali wameweka sifa, kwa kuangalia uwezo, kukubalika , anafaa ,uwezo wa kufanya kampeni, , anaweza kuleta kura nyingi na mwisho wanajiuliza iwapo mgombea kwa sababu yoyote atakuwa hayupo au ameondoka madarakani je mgombea mwenza atamudu nafasi ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vigezo vyote hivyo vilipimwa kwa Samia.

“Anaweza ndio , ana mudu, ndio, anajua kazi yake ndio, anaweza kufanya kampeni ndio, anaweza kumsaidia mgombea na kuleta kura ndio. Mwisho iwapo mgombea kwasababu yoyote ataondoka madarakani kwa njia za kidunia au zake Mwenyezi mungu anaweza kuchukua nafasi hiyo wana CCM tukajiridhisha ndio anaweza.

“Kwa hiyo kwa wale wanaosema huyu ni Rais wa Katiba si kweli , Rais Samia Suluhu Hassan alipimwa kabla ya kupewa hiyo nafasi, bahati nzuri mimi nilikuwa Katibu Mkuu wa Chama, nilishiriki vikao vya awali mwaka 2015 na wengine walikuwepo kwenye vikao, hayo maswali yote tulupojiuliza tukasema anaweza ,ana mudu hiyo kazi, anaongeza kura, ana uzoefu, anakifahamu chama cha mapinduzi lakini kama anahitajika kuwa Rais anaweza.

“Sasa unaposema Rais Samia ni Rais wa Katiba hakuchaguliwa sio kweli lakini kubwa zaidi Rais anapopigiwa kura na mgombea mwenza anapigiwa kura na kabla haijafika muda wa kupiga kura iwapo mgombea mwenza Mwenyezi Mungu atamchukua uchaguzi utasimmamishwa.”

Ameongeza kwa kueleza “Kwa nini usimamishwe? Kama kweli yeye ni Rais tu wa Katiba tuendeee kupiga kura mambo yaishe .Mwaka 2005 tulikuwa na mgombea mwenza wa CHADEMA Jumbe Rajab Jumbe mwenyezi Mungu akamchukua , uchaguzi ulisimamishwa, kwanini ulismamishwa? Kwasababu na yeye ananafasi muhimu hawezi rais wan chi akapigiwa kura au mgombea akapigiwa kura kama mgombea mwenza hayupo.

“Wanasema Rais Samia ni Rais wa Katiba hawasemi kweli, Rais Samia ni Rais aliyetokana na mchakato wa uchaguzi , alipopigiwa kura Rais Magufuli na Samia alipigiwa kura hapo hapo kama rais aliyemtangulia angekuwa ameondoka madarakani kwa kujiuzulu au kwasababu nyingine yoyote angekuwa Rais lakini kwasababu za Mwenyezi Mungu Rais Samia amechukua dhamana.

“Kwanini basi uchaguzi wa Chadema mwaka 2005 ulisimamishwa? Kwasababu wote wawili wanatokana na utaratibu wa Katiba uliowekwa kwa hiyo Rais Samia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wale wanaosema ni Rais wa Katiba wana ajenda yao, msiwasikilize. Kama hawajui au wanajifanya hawajui , nadhani sasa watajua, nilisema wanaosema Rais Samia ni wa Katiba hawasemi kweli na nimetoa maelezo.

“Sasa nitoe upande wa pili kweli ni Rais wa Katiba.Katiba inasema hivi kila Chama kitateua mgombea na mgombea mwenza, kwa hiyo kila Chama kinateua Mgombea na Mgombea Mwenza , Rais au mgombea anatokana na matakwa ya Katiba ya Jamhurii ya Muungano wa Tanzania.


“Mgombea mwenza ni matakwa ya katiba ya Jamhuri ya Muungano , kwa hiyo anateuliwa Samia kuwa mgombea mwenza ambaye baadae anakuwa Rais anatokana na matakwa ya Katiba kwa hiyo Rais Maguli ni Rais wa Katiba , unapendekezwa na chama chako, uakwenda kwa wananchi lakini hupigiwi kura peke yako unapigiwa na mgombea mwenza.

“Iwapo hayupo uchaguz unaahirishwa , kwa hiyo nimalize kwa kusema tukisema kwamba Rais Samia ni Rais wa Katiba husemi ukweli, Rais Samia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.nchi ya Marekani Rais wa sasa ni Rais wa 46 , katika marais 46 waliowahi kufariki kabla ya muda wao walikuwa marais wa nane baadae wakachukua wagombea wenza ambao baadae wakaja kuwa marais,” alifafanua.

Aliongeza kuwa, pamoja na hayo nchini Marekani hawajawahi kuwaita Marais hao ni WA katiba, “lakini hapa Tanzania wanaotaka kukoroga mambo wanakwambia Rais Samia ni Rais wa Katiba.”

Katika hatua nyingine, Kinana alifafanua kuwa, katika kudhirisha sifa za uongozi wa Rais Samia ameweka alama kubwa za maendeleo katika kila mkoa wilaya na shehia nchi nzima.

“Yote haya ya mefanyika katika muda mfupi wa mwaka mmoja wa uongozi wake
fedha za maendeleo zimetokana na ukusanyaji mkubwa wa kodi kwa njia ya hiyari, fedha za misaada na mikopo zilikuja kotokana na kukubalika kwake duniani.

SHAKA ASEMA RAIS SAMIA,DK.MWINYI 2030

Kwa upande wake Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, tikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameweka wazi kwamba kwa kazi nzuri anayoifanya Rais Samia na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kuwatumikia na kuwaheshimisha Watanzania, kuiheshimisha Afrika na Dunia awataendelea kuwa madarakani hadi 2030.

Amesema kwa pamoja wamekuwa wakifanya kazi kubwa ya kusimamia maendeleo endelevu na kudumisha na kuimarisha muungano.

“Mitano kwa Rais Samia haina mjadala biashara imekwisha, kwa mujibu wa Katiba ya Chama chetu, Katiba yetu na utamaduni wetu huu mjadala haupo tena.Kama kuna mtu ana ndoto, hizo ndoto zikae pembeni Dk.Mwinyi tunamalizana 2030 , Chama hiki kina msingi na msingi wake mkuu ni Katiba, Kanuni na taratibu lakini kina utamaduni wake , hivyo viongozi hawa watatuvusha mpaka 2030 halafu ndio tunaangalia Katiba inasemaje.

JAMHURI
Ni wapi Samia aliwahi kuomba kura za Urais , mbona 2020 alikuwa anatuomba tumchague Magufuli ?

Kinana hawezi kuachwa akipotosha katiba ya nchi , hatutakubali .
 
Hapa kwa sisi vilaza wa siasa ni kama tunapigwa changa la macho.Kwa sisi vilaza tunajua Mama alichaguliwa na Mwendazake kama Makamu wa Kwanza wa Rais.Sasa sijui uchaguzi ulifanyika lini?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hasasan ni Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amepatikana kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa kupigiwa kura na wananchi.

Kinana ametoa ufafanuzi huo jana wakati akizungumza na wana CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja visiwani Zanzibar kwenye Kongamano la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kutekeleza vema Ilani ya Uchaguzi Mkuu ya mwaka 2020/2025.

“Nataka niseme na vizuri Watanzania wakajua tangu Rais Samia achukue uongozi wa taifa letu kuna kauli nimekuwa nikisikia baadhi ya kauli kwamba Rais Samia ni Rais wa Katiba. Kauli hii ina ukweli lakini haina ukweli.

“Inaukweli kweli kwasababu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema kila chama kitaweka mgombea na mgombe mwenza na Katiba inasema mgombea Mwenza na mgombea wanafasi moja ya kupiga kampeni ya chama chao na kila Chama kinapochagua Mgombea Mwenza,”amesema Kinana.
============

Amefafanua CCM hakimchagua mgombea mwenza kwa kucheza bahati nasibu ya kutumbukiza halafu tuangalie nani kapata nani kakosa bali wameweka sifa, kwa kuangalia uwezo, kukubalika , anafaa ,uwezo wa kufanya kampeni, , anaweza kuleta kura nyingi na mwisho wanajiuliza iwapo mgombea kwa sababu yoyote atakuwa hayupo au ameondoka madarakani je mgombea mwenza atamudu nafasi ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vigezo vyote hivyo vilipimwa kwa Samia.

“Anaweza ndio , ana mudu, ndio, anajua kazi yake ndio, anaweza kufanya kampeni ndio, anaweza kumsaidia mgombea na kuleta kura ndio. Mwisho iwapo mgombea kwasababu yoyote ataondoka madarakani kwa njia za kidunia au zake Mwenyezi mungu anaweza kuchukua nafasi hiyo wana CCM tukajiridhisha ndio anaweza.

“Kwa hiyo kwa wale wanaosema huyu ni Rais wa Katiba si kweli , Rais Samia Suluhu Hassan alipimwa kabla ya kupewa hiyo nafasi, bahati nzuri mimi nilikuwa Katibu Mkuu wa Chama, nilishiriki vikao vya awali mwaka 2015 na wengine walikuwepo kwenye vikao, hayo maswali yote tulupojiuliza tukasema anaweza ,ana mudu hiyo kazi, anaongeza kura, ana uzoefu, anakifahamu chama cha mapinduzi lakini kama anahitajika kuwa Rais anaweza.

“Sasa unaposema Rais Samia ni Rais wa Katiba hakuchaguliwa sio kweli lakini kubwa zaidi Rais anapopigiwa kura na mgombea mwenza anapigiwa kura na kabla haijafika muda wa kupiga kura iwapo mgombea mwenza Mwenyezi Mungu atamchukua uchaguzi utasimmamishwa.”

Ameongeza kwa kueleza “Kwa nini usimamishwe? Kama kweli yeye ni Rais tu wa Katiba tuendeee kupiga kura mambo yaishe .Mwaka 2005 tulikuwa na mgombea mwenza wa CHADEMA Jumbe Rajab Jumbe mwenyezi Mungu akamchukua , uchaguzi ulisimamishwa, kwanini ulismamishwa? Kwasababu na yeye ananafasi muhimu hawezi rais wan chi akapigiwa kura au mgombea akapigiwa kura kama mgombea mwenza hayupo.

“Wanasema Rais Samia ni Rais wa Katiba hawasemi kweli, Rais Samia ni Rais aliyetokana na mchakato wa uchaguzi , alipopigiwa kura Rais Magufuli na Samia alipigiwa kura hapo hapo kama rais aliyemtangulia angekuwa ameondoka madarakani kwa kujiuzulu au kwasababu nyingine yoyote angekuwa Rais lakini kwasababu za Mwenyezi Mungu Rais Samia amechukua dhamana.

“Kwanini basi uchaguzi wa Chadema mwaka 2005 ulisimamishwa? Kwasababu wote wawili wanatokana na utaratibu wa Katiba uliowekwa kwa hiyo Rais Samia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wale wanaosema ni Rais wa Katiba wana ajenda yao, msiwasikilize. Kama hawajui au wanajifanya hawajui , nadhani sasa watajua, nilisema wanaosema Rais Samia ni wa Katiba hawasemi kweli na nimetoa maelezo.

“Sasa nitoe upande wa pili kweli ni Rais wa Katiba.Katiba inasema hivi kila Chama kitateua mgombea na mgombea mwenza, kwa hiyo kila Chama kinateua Mgombea na Mgombea Mwenza , Rais au mgombea anatokana na matakwa ya Katiba ya Jamhurii ya Muungano wa Tanzania.


“Mgombea mwenza ni matakwa ya katiba ya Jamhuri ya Muungano , kwa hiyo anateuliwa Samia kuwa mgombea mwenza ambaye baadae anakuwa Rais anatokana na matakwa ya Katiba kwa hiyo Rais Maguli ni Rais wa Katiba , unapendekezwa na chama chako, uakwenda kwa wananchi lakini hupigiwi kura peke yako unapigiwa na mgombea mwenza.

“Iwapo hayupo uchaguz unaahirishwa , kwa hiyo nimalize kwa kusema tukisema kwamba Rais Samia ni Rais wa Katiba husemi ukweli, Rais Samia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.nchi ya Marekani Rais wa sasa ni Rais wa 46 , katika marais 46 waliowahi kufariki kabla ya muda wao walikuwa marais wa nane baadae wakachukua wagombea wenza ambao baadae wakaja kuwa marais,” alifafanua.

Aliongeza kuwa, pamoja na hayo nchini Marekani hawajawahi kuwaita Marais hao ni WA katiba, “lakini hapa Tanzania wanaotaka kukoroga mambo wanakwambia Rais Samia ni Rais wa Katiba.”

Katika hatua nyingine, Kinana alifafanua kuwa, katika kudhirisha sifa za uongozi wa Rais Samia ameweka alama kubwa za maendeleo katika kila mkoa wilaya na shehia nchi nzima.

“Yote haya ya mefanyika katika muda mfupi wa mwaka mmoja wa uongozi wake
fedha za maendeleo zimetokana na ukusanyaji mkubwa wa kodi kwa njia ya hiyari, fedha za misaada na mikopo zilikuja kotokana na kukubalika kwake duniani.

SHAKA ASEMA RAIS SAMIA,DK.MWINYI 2030

Kwa upande wake Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, tikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameweka wazi kwamba kwa kazi nzuri anayoifanya Rais Samia na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kuwatumikia na kuwaheshimisha Watanzania, kuiheshimisha Afrika na Dunia awataendelea kuwa madarakani hadi 2030.

Amesema kwa pamoja wamekuwa wakifanya kazi kubwa ya kusimamia maendeleo endelevu na kudumisha na kuimarisha muungano.

“Mitano kwa Rais Samia haina mjadala biashara imekwisha, kwa mujibu wa Katiba ya Chama chetu, Katiba yetu na utamaduni wetu huu mjadala haupo tena.Kama kuna mtu ana ndoto, hizo ndoto zikae pembeni Dk.Mwinyi tunamalizana 2030 , Chama hiki kina msingi na msingi wake mkuu ni Katiba, Kanuni na taratibu lakini kina utamaduni wake , hivyo viongozi hawa watatuvusha mpaka 2030 halafu ndio tunaangalia Katiba inasemaje.

JAMHURI
Komredi
 
Poor reasoning from Kinana! Kama kweli Kinana anadhania zile Kura Uraisi wa Magufuli zilichangiwa na uwepo wa mama ni kwa nini wananchi hawampendi mama kiasi hicho wakati walimpigia? Hivi anaamini Toka moyoni mwaka 2015 na 2020 watu walimpigia Magufuli kwa sababu yuko na Samia? Ama kweli ukubwa wa Kamasi sio wingi wa Kamasi. Nilitarajia Kinana kwa jinsi anavyosifiwa kuwa na Akili angetumia hoja nzito sana hata za Kifalsafa kumaliza huu mjadala lakini naona ameongea kingumbaru fulani hivi. Eti Makamu Mwenyekiti! Kiongozi wa Chama ni Maono. Hakuna maono yasiyoendana na namna ya kuchambua na kujibu hoja vizuri.
Muda si mrefu ukivaa nguo za kijani utaanza kuzomewa labda ziandikwe Yanga.
 
Back
Top Bottom