Chitembwele Mbuvu
Member
- Jun 14, 2016
- 34
- 13
Mmmmmmh ! Hapa mtaisoma tu ! JPM huyooooh.. ..anakamata mchuma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli atakuwa Mwenyekiti wa CCM na serikali anayoiongoza ni ya CCM. Hizo zingine ni porojo tu. Huyo Naibu Katibu Mkuu amechelewa bado siku 10, JPM awe kiongozi mkuu wa wavaa za kijaniAsante Lizaboni kwa hii taarifa muhimu. Ila wajue kuwa CCM inahitaji kuendeshwa kulingana na wakati uliopo. Sasa kila mwananchi anahoji, na siasa za kufumbiana macho, kufichiana maovu zilishapitwa. Dr. Magufuli anafaa kabisa. Na pia ktk nadharia huwa tunasema kampuni kama inaelemewa na inataka kufa huwa haitafuti kiongozi toka ndani ya kampuni, bali huleta kiongozi toka nje ili aje arejeshe uhai. Na ndivyo ilivyokuwa kipindi cha uchaguzi, Dr. Magufuli na slogan yake ya "Serikali ya Dr. Magufuli...." na siyo serikali ya CCM, tofauti na enzi za Dr. JK, yeye ilikuwa "serikali ya CCM....."
Magufuli anamatatizo mkuu wa mkoa kushinda mitandaoni ha ha ha haaaa kwi kwiwkiwwwwwwwwwwwiHaswaaaa! Tena naona tu kuchelewa Julai 23. Nawahi mapemaaa Dodoma
Nilijua tu watetezi wa Luhwavi mtaingia kichwa kichwa. Mmeshagundulika na mkakati wenu hautafanikiwaMagufuli atakuwa na matatizo ya usahaulifu na ni mroho wa madaraka abaki serikalini aachane na siasa mpaka 2020 si amesema hapa kazi tu analialia nini sana waacha wanaotaka kufanya siasa akina Luhavwi wabaki chamani
Huyo aliyetumwa ndo ameshakufa hivyo, chezea CCM wewe. Yuko wapi Lowassa aliyesema asiyemtaka ndani ya CCM ndo aondoke. Luhwavi kama hamtaki JPM aondoke haraka sana.Wacha wafu wazikane!
Anafaa vipi sasayaani huyu anataka kufanya siasa inawezekana hajitambuwi anaporopoka ropoka si amesema hakuna siasa sasa uenyekiti wa nini kama sio kutaka kila kituMagufuli atakuwa Mwenyekiti wa CCM na serikali anayoiongoza ni ya CCM. Hizo zingine ni porojo tu. Huyo Naibu Katibu Mkuu amechelewa bado siku 10, JPM awe kiongozi mkuu wa wavaa za kijani
Umeonae.Tena mchawi huyo kanasa muda wa maombi[emoji125][emoji125][emoji125]
Mbona wewe hufai hata kwa mzizi umepewa mkoa ukiona mtu kama wewe anapewa wadhifa ulionao ujuwe chini ya magufuli watu waina yako wako wengiPole sana ndugu. Luhwavi hafai hata kwa dawa
Ni kawaida ya chama chetu kukabidhiana madaraka ya kichama. Endeleeni kuvumilia maumivu. Lazima wachawi wite wafukuzwe chamaniAnafaa vipi sasayaani huyu anataka kufanya siasa inawezekana hajitambuwi anaporopoka ropoka si amesema hakuna siasa sasa uenyekiti wa nini kama sio kutaka kila kitu
Mbona mnaochonga sana ni UKAWA, kuna nini? Nasema bado siku 10 awe, pasukeni.Anafaa vipi sasayaani huyu anataka kufanya siasa inawezekana hajitambuwi anaporopoka ropoka si amesema hakuna siasa sasa uenyekiti wa nini kama sio kutaka kila kitu
Basi aliyenunua MV Dar angekuwa jela sasa watu waina hiyo si ndio waliojaa CCMMkuu Lizaboni, miaka 5 iliyopita huyu Ruhwavi pia aliwahi kukudwa shati na polisi na kufikishwa mbele ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi kwa kukiuka kifungu namba 13 ya kutowasilisha fomu ya maelezo ya mali au madeni.
Sababu ya kuamuru kukamatwa kwake ni kitendo chake cha kusepa na asijulikane akipo.