Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Serikali ndio yenye watawala waliojiwekea kinga. Ndio huwapa uwezo WA kufanya uyasemayo. Kuweka kisu shingoni mwao utasubiri mpaka yesu aje.
Sisi wananchi tukidemand hilo,haliwezekani???
 
Unategemea mwenye kisu ajichinje mwenyewe?
 
Siku Magufuli akifanya hivo nitaamini kuwa yeye ni mzalendo Nambari one toka Tanzania iwepo
 
Wenzetu korea walifanyaje mpaka wakawa na sheria hizo?
Soma historia za mataifa hayo,halafu ujiulize,je,upo tayari kupita njia iliyowafikisha hao wenzetu huko?

Kama haupo tayari,basi kaa kimya,usubiri kuzeeka then ufe,uwaachie watoto wako pia wakiendelea kuota ndoto kama ya kwako,na wao watazeeka na watakufa,itabaki hivyo mpaka wawepo watu watakaopitia njia walizopitia wenzetu unaowasema!
 
Nways,nadhani kama tuna uthubutu tunaweza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…