ThaGreatman
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 708
- 1,465
Umenikumbusha enzi za hamasa ya yule dada wa ughaibuni,watu wakajifanya wako veeeery serious,waiting for tar.26 April,then kilichotokea ni kichekesho,dada wa watu huko ughaibuni akabaki kutoa macho tuuuu!!!Mimi niko tayari!
Nadhani na wewe unakuja na swaga zile zile,za "tupo tayari" lakini utayari mwenyewe ni huu wa JF baaaas!
😀 😀 😀