Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weledi huo unafuata katiba au unafuata matakwa yake?Mwanasheria mkuu atashitakiwa instead of presd. Sababu ya kinga hii ni kumfanya Rais afanye kazi yake kwa weledi na kujiamini wakati wa utawala wake..ova
#nafaham mtakosoa hili,but hainishtui
Bila katiba Saa 4 asubui mkeka unachanikaMaccm yanaogopa Katiba Mpya kuliko hata kifo!! Inashangaza sana.
Ni muda wao wakudemka,ila sisi tunaitaka katiba mpya, wakielewa wanayofursa ya kuanzia hapa, walipo , wasipoelewa tutaitumia hiyo katiba mpya kufukua makaburi, pamoja na Kinga zao.Kweli TANZANIA ni NCHI ya KUINGWA,Rais Mstaafu wa AFRIKA KUSINI Jacob Zuma AMEFUNGWA Jela kwa MIEZI 15 huku Kwetu Ukifanya Makosa kama Hayo ya ZUMA hufungwi KINGA ITAFANYA KAZI.Ndio Maana KATIBA MPYA inapigwa VITA na WATAWALA.
Mpaka nafsi ikamsuta akaamua kuandika aliyofanya ndipo akafaHivi ndugu zangu ni kwanini uwezo wetu wa kufikilia unakuwa duni sana kiasi hichi.
Unataka kuniambia hawa wabunge na viongozi wengine wote hawaoni upungufu wa sheria hii kuwa ni mwanzo wa maovu kama haya, angalia mambo ambayo mkapa kayafanya mpaka anaona aibu kuongea na watu, lakini eti sheria inamlinda.
Nadhani sheria hii ilikuwa inastaili enzi hizo za Baba wa Taifa waliokuwa waadilifu na wazalendo kweli ambao mpaka sasa tunatamani wangekuwepo, lakini sio enzi hizi za akina mkapa kikwete, tunaoomba hata wapate matatizo yoyote na watoweke muda wowote kwa jinsi walivyotutesa na wanavyoendela kututesa watanzania,
Na ni kwanini hata wabunge wasishirikiana hata katika hili jamani, hii katiba yetu mbona mbovu namna hii jamani, watu wanaiangalia tu kwa sababu ndo inawapa ulaji tu sio
Poa, ila iko siku itafika tu na mambo yataenda kama tunavyotaka