Kudharaulika kwa mahakama kunatokana na kinga ya rais,kinga ya rais kutokushitakiwa inachangia sana kudharaulika kwa mahakama
Nchini tanzania,sasa hivi mahakama imefanywa kama takataka,nitatoa mfano kudhibitisha tuhuma nilizozitoa kuhusu mahakama kufanywa takataka
Mfano (1)
Tanroard wamebomoa nyumba za wakazi wa kimara wakati kuna zuio la mahakama,hii ni zarauuuuu kubwa sana kwa mahakama zetu,chombo cha serekali kukataa kutii na kutekeleza amri halali ya mahakama nashindwa hata kuelezea,na kuamini kama kweli
Mfano (2)
Mh sumaye waziri mkuu mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mashamba yake yana zuio la mahakama,lkn amenyanganywa mashamba yake kukiwa kuna amri halali ya zuio la mahakama,hivi ni mifano gani watanzania wanataka kupewa ili wajue mahakama yetu imedharaulika
Rudia maamuzi ya rufaa ya kesi ya mbunge wa arusha mjini,majaji walisema serekali inanajisi sheria
Wako wapi kina jaji warioba,wako wapi majaji wetu wastaafu,jaji Ramadhani,jaji barnaba samata,jaji bomani,na majaji wengine wastaafu?
Liko wapi baraza la maaskofu,liko wapi jukwaa la wakristu tanzania?
Sent using
Jamii Forums mobile app