Mimi nakubali kile unachokataa
Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovuutumwa unatusumbua sana inawezekana na nchi zilizotawaliwa na wafaransa wako hivi pia
mimi kweli kingereza sijui na sina mpango wa kujua zaidi kwa kuwa hakina mchango mkubwa kwa maisha yangu ya kila siku
hivyo sioni kama ni swala la kujisumbua nalo naandika broken na wazungu tunaelewana mzigo unafika.
sio issue sana.
ikisumbua wapo watu hawanakazi wala kipato tutawapa kazi wapambane nayo we vipi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu mtihani sasaHivi nikitaka kuagiza supu ya utumbo na vitumbua viwili kwa kiingereza nasemaje ?
Yes? Babumawe@Paula Paul
Bora litamsaidia jinsi ya kukabiliana na changamoto katika ubovu huohuo na kesho atajenga lingine
dogo kiingereza wito wazungu wenyewe kinawasumbua itakuwa mimi? acha kabisa ndugu
Dont panic, I was supporting your hypothesis.
Ulisoma school gani paula i mean olevel meyb na a level??Yes? Babumawe
Ziwa[emoji849][emoji849]Hiyo reki ni nini?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ziwa[emoji849][emoji849]
Sure[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Aiseee hizi mother tongue zinaharibu sana ndimi za wadau.
Am I being detained? (Just kidding)Ulisoma school gani paula i mean olevel meyb na a level??
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Hahahaahh! now I have cleared my doubt!.....Ulisoma school gani paula i mean olevel meyb na a level??
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
mzee baba alimaanisha "Lake"Hiyo reki ni nini?