Kingereza ni changamoto kwa JF members, nyuzi za English hazisogelewi

Kingereza ni changamoto kwa JF members, nyuzi za English hazisogelewi

utumwa unatusumbua sana inawezekana na nchi zilizotawaliwa na wafaransa wako hivi pia
mimi kweli kingereza sijui na sina mpango wa kujua zaidi kwa kuwa hakina mchango mkubwa kwa maisha yangu ya kila siku
hivyo sioni kama ni swala la kujisumbua nalo naandika broken na wazungu tunaelewana mzigo unafika.
sio issue sana.
ikisumbua wapo watu hawanakazi wala kipato tutawapa kazi wapambane nayo we vipi!
 
utumwa unatusumbua sana inawezekana na nchi zilizotawaliwa na wafaransa wako hivi pia
mimi kweli kingereza sijui na sina mpango wa kujua zaidi kwa kuwa hakina mchango mkubwa kwa maisha yangu ya kila siku
hivyo sioni kama ni swala la kujisumbua nalo naandika broken na wazungu tunaelewana mzigo unafika.
sio issue sana.
ikisumbua wapo watu hawanakazi wala kipato tutawapa kazi wapambane nayo we vipi!
Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada lazima ni mwalimu...piga ua..tena wa inglishi
 
Kingereza changu cha kuombea maji
Ila cha ajabu kuna lugha mbili za kigeni naongea vzr kuliko kingereza[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo mimi hapa naongea lugha 4

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mungu ibariki Tanzania. Wimbo wetu wa taifa ulianzia hvyo.
 
Kiingereza cha nini banaaa tunakijua sana basi tu tunadumisha lugha yetu

didi you think we donti know english? doestn we? didint you? we all doesint know well well. how could you say such a thing??? couldint you? codidint you? you dyudyuduuuu! dushente shente us.

Jf rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom