OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Kuna mtu nilisikia akisema katiba mpya sio priority yakeAjenda kuu ya upinzani na hasa ukawa ni lazima iwe tume huru ya uchaguzi kama kweli tunataka haki yetu ya ushindi ilindwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu nilisikia akisema katiba mpya sio priority yakeAjenda kuu ya upinzani na hasa ukawa ni lazima iwe tume huru ya uchaguzi kama kweli tunataka haki yetu ya ushindi ilindwe
tena wanatufanya kama mazezetaComrade yuko sawa kabisa ila anamsha hisia zilizolala, yaani mara hii amesahau nguvu waliyoitumia kuhujumu ile rasimu ya katiba ya Warioba ambayo ilikuwa na hicho anachokisema tume huru, hawa watu wanatufanya watanzania kama hatuna uwezo wa kufikiri vile.
Najiuliza Sana Hilo swali nashindwa kupata majibu sahihi..
Mapambano ya uchaguzi mkuu kikwazo kikuu ni tume huru ya uchaguzi na vyombo vya ulinzi na usalama..
Ushahidi mzuri ni uchaguzi mkuu uliopita na ule wa 2010 ambapo inasemekana wapinzani waliporwa ushindi wao..
Zanzibar ndio tusiseme kabisaa kwani ccm haijawah shinda hata siku moja..
Sasa najiuliza hivi wapinzani hawajui adui yao mkubwa Kama ni tume ya uchaguzi?... Au Tanzania hakuna upinzani? Wote ni ccm tu..?
Nawaambieni wapinzani sitaki Tena kusikia eti mumeibiwa kura zenu.. sitaki na ninasema Kama ni hivyo Mimi sijisumbui Tena kupiga kura wakati refa wa mchezo huo ameteuliwa na timu mojawapo inayoshindana..
Natoa hoja wadau..!!
True! Haiwezekani kila siku wanalalamika kuibiwa kura kwenye uchaguzi halafu uchaguzi ukishapita hawachukui hatua zozote kudhibiti wizi huo wa kura siku za usoni.Wapinzani hawajawahi kushinda uchaguzi hata siku moja wanachofanya ni upotoshaji tu hakuna lingine la maana hata moja.
Kwani we ni tume ya uchaguzi hadi unajua kuwa ccm haijawahi shida ZanzibarNajiuliza Sana Hilo swali nashindwa kupata majibu sahihi..
Mapambano ya uchaguzi mkuu kikwazo kikuu ni tume huru ya uchaguzi na vyombo vya ulinzi na usalama..
Ushahidi mzuri ni uchaguzi mkuu uliopita na ule wa 2010 ambapo inasemekana wapinzani waliporwa ushindi wao..
Zanzibar ndio tusiseme kabisaa kwani ccm haijawah shinda hata siku moja..
Sasa najiuliza hivi wapinzani hawajui adui yao mkubwa Kama ni tume ya uchaguzi?... Au Tanzania hakuna upinzani? Wote ni ccm tu..?
Nawaambieni wapinzani sitaki Tena kusikia eti mumeibiwa kura zenu.. sitaki na ninasema Kama ni hivyo Mimi sijisumbui Tena kupiga kura wakati refa wa mchezo huo ameteuliwa na timu mojawapo inayoshindana..
Natoa hoja wadau..!!
Najiuliza Sana Hilo swali nashindwa kupata majibu sahihi..
Mapambano ya uchaguzi mkuu kikwazo kikuu ni tume huru ya uchaguzi na vyombo vya ulinzi na usalama..
Ushahidi mzuri ni uchaguzi mkuu uliopita na ule wa 2010 ambapo inasemekana wapinzani waliporwa ushindi wao..
Zanzibar ndio tusiseme kabisaa kwani ccm haijawah shinda hata siku moja..
Sasa najiuliza hivi wapinzani hawajui adui yao mkubwa Kama ni tume ya uchaguzi?... Au Tanzania hakuna upinzani? Wote ni ccm tu..?
Nawaambieni wapinzani sitaki Tena kusikia eti mumeibiwa kura zenu.. sitaki na ninasema Kama ni hivyo Mimi sijisumbui Tena kupiga kura wakati refa wa mchezo huo ameteuliwa na timu mojawapo inayoshindana..
Natoa hoja wadau..!!