Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Utawala wa demokrasia unaharakisha maendeleo.

Utaratibu tulijiwekea sasa haupelekei kuwepo kwa demokrasia. Kwanza kunatakiwa kuwe na itashi wa kisiasa kuwa ncho iwe ya demokrasia hata kabla ya kuangalia mifumo.
 
Kama mwananchi wa kawaida baada ya kuona yaliopitikana katika kipindi hiki kifupi naomba kutoa ushauri kwa mh. rais na Tume ya uchaguzi.

1.Nikirefer report ya jukwaa la katiba walioitoa baada ya uchaguzi wa kata 43. mojawapo ni suala LA mawakala na namna wasumamizi wanavyohujumu uchaguzi kupitia wasimami.

ushauri: NEC wabadilishe mfumo wa. kutumia wakurugenzi katika suala LA kutoa viapo kwani imedhihiri wakati wa kata 43 watu walijeruhiwa, Leo yametokea mauaji suala likiwa hilohilo.

NEC msizibe masikio hii sio sawa, km mnataka Tanzania ya amani na upendo msipuuzie kadhia hii.

2. Nakuomba mheshimiwa rais kuchukua ushauri uliotolewa na maaskofu katoliki.
ni wazi kila siku tunaambiwa umefanya mambo makubwa na km ni kweli hakuna haja ya kubana ama kuzuia wapinzani kwa chochote, action speaks louder than words. waache waseme kwan wananchi wanaelewa mambo yakopoa yan ni mdebwedo ila mkizuia na kuwabana wengine wataamini hakuna kinachofanyika, so inabidi wazuiwe wasije mwaga upupu.


Kwako Mh rais na NEC damu ya Aquilina ifungue pazia mpya kuunda tume huru ya uchaguzi.

mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi.

Tutoe ushauri kwa lugha ya heshima na tusitukane
Daaa!!!aisee hii serikali ishaziba masikio nahawezi kubadilika kamwe kwani usizani hayo yanatendeka kwa kutokujua wanajua kabisa kilakitu nimakusudi ili kuitete ccm.
Over
 
Kwa haya yaliyotokea yameshaonesha kuwa hali ya kisiasa Tanzania ipo ICU.

Sasa hawa watu wameshaonja harufu ya damu. Wao kuuwa mtanzania mwenzao kisa madaraka ni kitu cha kawaida sana.

Sasa basi mi nashauri kama vipi achaneni na siasa. Tafteni kazi nyingine kama mtashindwa kuomba Tume huru ya uchaguzi.

Tunapoteza pesa, nguvu, na hata Watanzania wenzetu kwa chaguzi zisizokuwa zinazingatia haki na uhuru wa watanzania.

Acheni wajitawale wenyewe. Wafanye watakayo na tuone watafika wapi.
 
Hamna cha Tume Huru wala nini. Wapinzani hamkubaliki na siasa zenu za fujo na kususa susa. Jipangeni upya, ndio dawa.
 
Chama chochote makini cha siasa kitahakikisha panakuwepo na Tume huru ya uchaguzi katika nchi/ eneo wanalofanyia siasa. Hii ni tofauti kabisa hapa Tanzania, vyama vya siasa viko busy kugombea ruzuku na nyakati za uchaguzi wanasababisha machafuko kwa kisingizio cha kutotendewa haki na wasimamizi wa uchaguzi. Ndipo najiuliza Chadema kwa mfano hawajui kwama wakurugenzi wa wilaya ni makada?......na kama wanajua kwanini wanaingia uchaguzini? Hizi siasa za kula ruzuku zimepitwa na wakati na wala sishangai kuona vyama vya upinzani vikipukutika kila iitwapo leo!
 
Unataka chadema wapiganie
Tume huru ili iwejeee hapa tulipofikia panatoshaaa.

Tunachoomba vyama vingi vifutweeeee
 
sio kweli, jamaa waliwahi na wanalizungumziaga eneo hili, na bila katiba mpya wameona hawaliwezi eneo hili, na katiba mpya ndio suluhisho ya tume huru ya uchaguzi!
 
sio kweli, jamaa waliwahi na wanalizungumziaga eneo hili, na bila katiba mpya wameona hawaliwezi eneo hili, na katiba mpya ndio suluhisho ya tume huru ya uchaguzi!
Waliwahi lini?!......ile ya kwenye katiba mpya ilikuwa ni kazi ya kina Polepole siyo wapinzani. Nadhani kuna kitu kinaogopwa na wapinzani kuhusu Tume huru ya uchaguzi!
 
Waliwahi lini?!......ile ya kwenye katiba mpya ilikuwa ni kazi ya kina Polepole siyo wapinzani. Nadhani kuna kitu kinaogopwa na wapinzani kuhusu Tume huru ya uchaguzi!
Teh, hapana! tena hakuna kitu wanaogopa! wee unadhani wanaogopa nini!?
 
Back
Top Bottom