Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

EL wakati yuko CCM alikuwa hataki serikali tatu maana kwa mujibu wa katiba mpya raisi wa Muungano angekuwa na power ndogo!
Mzee Kingunge hawa ni wahafidhina wa CCM waliokuwa wanataka serikali mbili na kwa ushawishi wao wakateka Katiba ya wananchi wakatuletea rasimu yao waliyokwisha iandaa mafichoni.
Leo hii anataka Katiba mpya , Wee mzee wewe, weee mzee wewe!
 
Kwa utawala huu Wa sizonje sijui Kama ataruhusu hicho kitu kitokee coz anajua anachotufanyia sisi akina nanilii huku gizani
 
Ni mwanzilishi, mlezi, mtetezi, chief strategist & propagandist na think tank iliyozaa mfumo huu huu anaoulalamikia sasa. Amekula wee na kufaudu mumo kwa mumo wakampa ulaji pale stendi ya Ubungo yeye na wanae. Walipomnyang'anya tu huyooo akalamba hela za Eddo akageuza gia angani. Bunge la katiba JK anaichakachua katiba mpya laivu yuko kimyaaa leo hii ati ndiye mwanaharakati.

Wanasiasa wa Tanzania hawa wachumia tumbo tu na ni wachache sana ambao wameweka matakwa ya taifa mbele. Haiwezekani mtu utumikie mfumo ule ule kwa miaka 70 na jioni kabisa huku ndo ujifanye mwanaharakati. Hopeless kabisa!!!
kiongozi umemaliza kila kitu asante sana hakuna jipya hapo watu kama hawa ni wakupuuza kabisa ametumika miaka yote bila kusema chochote leo ndiyo anajifanya kuzungumzia agenda za tume huru na katiba utadhani hakuwepo madarakani aise hiki ni kituko cha kufungia mwaka
 
Nyie ni watu sio mawe hivyo watu wanatakiwa kubadilika kutokana na wakati. Ni aibu mtu uliyesoma kumlaumu mtu eti mbona zamani alikuwa na msimamo ule na leo ana msimamo huu.
Mwanzilishi wa sheria ya muundo wa utawala wa Chama kimoja ni Mwalimu Nyerere, lakini ndiye huyohuyo aliye shinikiza kuwa sasa wakati umefika kuwa na vyama vingi. Mbona hamkumshangaa
Mkuu hamna anaelaumu ila tunapaswa kujifunza kuwa unacho Fanya Leo kiwe kwa faida ya Leo na kesho
 
Edo anasema TB JOSHUA kamwambia 2020 wanaingia Ikulu,yeye anasema WASAHAU kushinda uchaguzi,wataingiaje ikulu bila kushinda uchaguzi?au wataingia kunywa chai na kutoka?
64eb70c9fbf66f89dcd8f5fc1e18eaa3.jpg
 
Walio tunga katiba na yeye alikuwa mjumbe. Wapinzani walipo sema katiba mbovu yeye aliwapuuza Leo analalamika ajue anacho kilalamikia ndicho alicho kitengeneza bila kujua kesho yake itakuwaje? Tujue tunacho kiaanda Leo ndio matokeo ya kesho
Kwenye swala la tume huru, kuhojia mahakamani matokeo ya kura ya urais, msimamo wako ni UPI?.
 
Mkuu hamna anaelaumu ila tunapaswa kujifunza kuwa unacho Fanya Leo kiwe kwa faida ya Leo na kesho
Mkuu siasa ni tofauti na matukio ya fani nyingine. Alichofanya Kingunge wakati ule ndio kinampa faida leo yeye mwenyewe kukipinga. Hiyo ndiyo politics acrobatic. Hakuna kitu cha ukweli kinachosimama daima katika siasa.
 
Mkuu siasa ni tofauti na matukio ya fani nyingine. Alichofanya Kingunge wakati ule ndio kinampa faida leo yeye mwenyewe kukipinga. Hiyo ndiyo politics acrobatic. Hakuna kitu cha ukweli kinachosimama daima katika siasa.
Kwa hiyo unataka kusema kwenye siasa kila kitu ni Dharula?
 
Wanasiada bwana inamaana miaka yote alikua halijui hilo? Au mwaka jana alikua anamdamganya swahiba wake kua atashinda lkn anajua waz kua hawez kushinda kwa tume hii.
 
Back
Top Bottom