Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He is an opportunistic politician.Huyu mzee si alikuwa kwenye bunge la katiba, wanazingua, waongee wengine si hawa
Ajenda kuu ya sasa ni kata funua mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hili namuunga mkono Mzee Ngombale Mwiru. Hii ndio inatakiwa kuwa ajenda kuu ya UKAWA hadi kieleweke.
Lema, Msigwa, Mbowe, Mdee, Mnyika wameshinda Kwa Tume ipi??Hakuna haja ya kupoteza muda, tume haipo huru afu unategemea nini
kabisa kiongozi wapiga dili tu hao siyo wana harakatiNa hakuna hata mmoja anayeifikiria Tanzania na watu wake....Opportunists
kiongozi umemaliza kila kitu asante sana hakuna jipya hapo watu kama hawa ni wakupuuza kabisa ametumika miaka yote bila kusema chochote leo ndiyo anajifanya kuzungumzia agenda za tume huru na katiba utadhani hakuwepo madarakani aise hiki ni kituko cha kufungia mwakaNi mwanzilishi, mlezi, mtetezi, chief strategist & propagandist na think tank iliyozaa mfumo huu huu anaoulalamikia sasa. Amekula wee na kufaudu mumo kwa mumo wakampa ulaji pale stendi ya Ubungo yeye na wanae. Walipomnyang'anya tu huyooo akalamba hela za Eddo akageuza gia angani. Bunge la katiba JK anaichakachua katiba mpya laivu yuko kimyaaa leo hii ati ndiye mwanaharakati.
Wanasiasa wa Tanzania hawa wachumia tumbo tu na ni wachache sana ambao wameweka matakwa ya taifa mbele. Haiwezekani mtu utumikie mfumo ule ule kwa miaka 70 na jioni kabisa huku ndo ujifanye mwanaharakati. Hopeless kabisa!!!
Akina nani?Huyu mzee si alikuwa kwenye bunge la katiba, wanazingua, waongee wengine si hawa
Mkuu hamna anaelaumu ila tunapaswa kujifunza kuwa unacho Fanya Leo kiwe kwa faida ya Leo na keshoNyie ni watu sio mawe hivyo watu wanatakiwa kubadilika kutokana na wakati. Ni aibu mtu uliyesoma kumlaumu mtu eti mbona zamani alikuwa na msimamo ule na leo ana msimamo huu.
Mwanzilishi wa sheria ya muundo wa utawala wa Chama kimoja ni Mwalimu Nyerere, lakini ndiye huyohuyo aliye shinikiza kuwa sasa wakati umefika kuwa na vyama vingi. Mbona hamkumshangaa
Edo anasema TB JOSHUA kamwambia 2020 wanaingia Ikulu,yeye anasema WASAHAU kushinda uchaguzi,wataingiaje ikulu bila kushinda uchaguzi?au wataingia kunywa chai na kutoka?
Kwenye swala la tume huru, kuhojia mahakamani matokeo ya kura ya urais, msimamo wako ni UPI?.Walio tunga katiba na yeye alikuwa mjumbe. Wapinzani walipo sema katiba mbovu yeye aliwapuuza Leo analalamika ajue anacho kilalamikia ndicho alicho kitengeneza bila kujua kesho yake itakuwaje? Tujue tunacho kiaanda Leo ndio matokeo ya kesho
Mkuu siasa ni tofauti na matukio ya fani nyingine. Alichofanya Kingunge wakati ule ndio kinampa faida leo yeye mwenyewe kukipinga. Hiyo ndiyo politics acrobatic. Hakuna kitu cha ukweli kinachosimama daima katika siasa.Mkuu hamna anaelaumu ila tunapaswa kujifunza kuwa unacho Fanya Leo kiwe kwa faida ya Leo na kesho
Change it is now time for action.Some of us have been saying that for years now!
Kwa sasa katiba mpya ndo kila kitu maana ndo italeta tume huruKwenye swala la tume huru, kuhojia mahakamani matokeo ya kura ya urais, msimamo wako ni UPI?.
Kwa hiyo unataka kusema kwenye siasa kila kitu ni Dharula?Mkuu siasa ni tofauti na matukio ya fani nyingine. Alichofanya Kingunge wakati ule ndio kinampa faida leo yeye mwenyewe kukipinga. Hiyo ndiyo politics acrobatic. Hakuna kitu cha ukweli kinachosimama daima katika siasa.