Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Kwa maoni yangu, kama kuna watu wanazungumzia kuunda jeshi ili kushindana kisiasa hawako sahihi. Watu wa ai..na hiyo wanatakiwa kukandamizwa kwa nguvu zote ili waache uchu wa kututawala ulio vuka mipaka. Akina kingunge walisha onja asali. JPM wachunge sana nchi ibaki salama.
 

kwani ndio anajua leo hilo? mbona watu wengi walilifahamu hilo siku nyingi. lakini mwaka 2020 wapinzani wataingia kama kawaida kwenye uchaguzi kwa vile kuna vyama vingi vimewekwa na ccm hata wakikataa ukawa ngoma itakuwa ndiyo imetoka.
 
Bora umeongea ukweli basi wapizani msisimamishe mgombea wa uraisi 2020
Kusimamisha mgombea ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu
 
Lowassa ameshasema nyie pigeni kura. Suala la kulinda kura tumwachie yeye
 
sasa kama malando atatangaza matokeo, kule zenji maalim atatangaza pia, NEC ya nini tena
 
its true the ground isn't fair enough for the opposition but the moment he was in systems hakuyaona hayo!?hawa wazee wanafiki sana
 
Huyu mzee anawachanganya tu UKAWA,hawajui wadai katiba mpya au tume.
Operesheni kata funua ilikuwa ije na mkakati wa kufanya vurugu nchi nzima,babu anawaambia wadai tume huru tu,waache kwanza katiba.
Hapa ndipo unaona akili ya wapinzani wa Tanzania ilivyo na urojo.Katiba pendekezwa walioapa kuipinga ina mambo ya tume huru na matokeo ya urais kuhojiwa lakini hawakujali hilo.
Bahati mbaya sana,awamu hii haina kipaumbele cha katiba wala tume huru,Wagome tu
 
Kama vyama vya upinzani havitadai tume huru ya uchaguzi hata mm siumizi kichwa kuchagua.tunafanyana watoto maana mshindi anajulikana hata kabla ya kura kwann niumize kichwa changu.sahivi wqmekaa kimya haf ikifika 2020 watasema wameibiwa kura.
 
hahahahah alishindikiza .au.alishindikizwa mkuu? ilkuwa.lazma mult party system iazishwe mkuu na sio nyerere
 
Huyu mzee si alikuwa kwenye bunge la katiba, wanazingua, waongee wengine si hawa
Huyu babu angekuwa anataka aheshimiwe kwa analoongea kama kina Warioba basi angelibakia neutral, lakini katika umri alionayo bado ni mtafutaji kwenye vyama vya siasa, kwa hapo kajishushia hadhi sana. Hakuna ataloongea kwa sasa watu wakamsikiliza. Ameshapitwa na wakati toka alivyopoteza busara ya kisiasa, ni wazi huyu ndie miongoni wa waliokuwa wakimpotosha Mwalimu.
 
"Kwa maoni yangu, kundi hili lililo madarakani bila shinikizo kubwa toka kwa wananchi hakuna mabadiliko" nukuu toka kwa Kingunge Ngombale Mwiru. Hapa nakubaliana na Mzee huyu 100% maana kelele zingine zinataka mabadiliko kwa hisani toka kwa kundi hili la CCM. Lazima shindikizo, vuguvugu, malumbano n.k kuwabana kundi hili la watawala.
 
Edo anasema TB JOSHUA kamwambia 2020 wanaingia Ikulu,yeye anasema WASAHAU kushinda uchaguzi,wataingiaje ikulu bila kushinda uchaguzi?au wataingia kunywa chai na kutoka?
wewe.una mwamini nani mkuu mtu wa Mungu au mtoa roho.watu?
 
meno yote yameisha yupo.ccm na hakusema chochote ....nakumbuka horance kolimba alipo.sema ccm haina idra wala mwelekeo hui mzee alimwambia kolimba aende bungeni akaongee hayo maneno....
kilicho Mkuta sitaki.kusema.........

Leo hiiiii mzeee huyu. ......eti.....katba mpya ..duh au yesu kaludi....jamani?[emoji125]
 
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru amesema bila ya kuwa na tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya, vyama vya upinzani visahau kushinda urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Kanu Kenya iliondoka bila katiba mpya, wala tume huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…