Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanadamu uendelea kuumbwa kila sikuHuyu mzee si alikuwa kwenye bunge la katiba, wanazingua, waongee wengine si hawa
Tafadhali nikumbushe kwenye Bunge la Katiba huyu mzee alisema niniHuyu mzee si alikuwa kwenye bunge la katiba, wanazingua, waongee wengine si hawa
Nyie ni watu sio mawe hivyo watu wanatakiwa kubadilika kutokana na wakati. Ni aibu mtu uliyesoma kumlaumu mtu eti mbona zamani alikuwa na msimamo ule na leo ana msimamo huu.Walio tunga katiba na yeye alikuwa mjumbe. Wapinzani walipo sema katiba mbovu yeye aliwapuuza Leo analalamika ajue anacho kilalamikia ndicho alicho kitengeneza bila kujua kesho yake itakuwaje? Tujue tunacho kiaanda Leo ndio matokeo ya kesho
Ni mnafiki, mbona Ukawa walipotoka yeye hakutoka kama kweli alikuwa na nia njema na taifa letu?Huyu mzee si alikuwa kwenye bunge la katiba, wanazingua, waongee wengine si hawa
Kingunge kasahau kabisa walikuwa wanapambana na wakoloni. Hajui kuwa waliopo madarakani sasa ni walewale waliopambana na wakoloni wakawatoa. Sasa anataka kurudisha ukoloni? Anasema aligombana na baba yake, kwa nini hasemi kagombana na mwanaye kwa kufuata tamaa ya pesa?Yako mambo ambayo itabidi tujitahidi yaamuliwe sasa kabla ya 2020. Mambo hayo makubwa kwanza ni tume huru (ya uchaguzi). Suala hilo lazima lizungumzwe sasa, hatuwezi kwenda 2020 na tume ya sasa na Katiba ya mwaka 1977. Tukienda hivyo sahau habari ya upinzani kushinda uchaguzi,” alisema.
Nilichokiona kuna makundi mawili huko, kuna wale wanaotaka uongozi kupitia chadema wakati sio wapenzi wa chadema, ndio maana huwa hawashiriki ata kwenye chaguzi za ndani, wao wanadili na vijana tu, regardless ni chadema au sio wanachadema kwa lengo moja tu , kupata ikulu na post za juu za nchi, na kundi la pili linalodili na internal affairs kuhakikisha wale wanajiita wafia chama wanaendelea kutawala chama, regardless ata mtu mmoja akishika vyeo kumi, ni ruhusa.
Ni mwanzilishi, mlezi, mtetezi, chief strategist & propagandist na think tank iliyozaa mfumo huu huu anaoulalamikia sasa. Amekula wee na kufaudu mumo kwa mumo wakampa ulaji pale stendi ya Ubungo yeye na wanae. Walipomnyang'anya tu huyooo akalamba hela za Eddo akageuza gia angani. Bunge la katiba JK anaichakachua katiba mpya laivu yuko kimyaaa leo hii ati ndiye mwanaharakati.Huyu mzee si alikuwa kwenye bunge la katiba, wanazingua, waongee wengine si hawa