Kingunge: Mchakato wa kumpata Mgombea Urais CCM ulikuwa batili! Lowassa si fisadi kama inavyodhaniwa

Kingunge wachane maccm yanaonea watu.Ccm wamezoea magoli ya mikono leo msikubali pambana mpaka Lowasa apate haki yake.ccm ni mafisadi na wadhurumu haki

Nape alipenyeza Goli la mkono kwa kula njama majina ya makongoro Nyerere na bilali yakaondokewa top 5 kienyeji wakapachika Membe na January ili awape Goli la mkono lakini wajumbe wakawaumbua, Nape kahamia Kwa Magufuli kinafiki tu lakini halikuwa Chaguo lake.
 
Najua Nape atasema mzee kafilisika kisiasa

Majibu ya Nape hata Kama yatatoka mbinguni Kwa Mungu hakuna kwenye Akili zake atayaamini , kwani Nape anajulika yupo Kwa magufuli kinafiki tu baada ya Chaguo lake Membe kutupwa vibaya licha ya kujaribu kumpa Goli la mkono Kwa kulikata jina la makongoro Nyerere akampachika kienyeji , Mzee kingunge kasema Ukweli Hata nape aje na majibu gani Ukweli utabakia kuwa kweli .
 
yaan Leo ningekuwa mm n lowasa ningehama chama yaan hakuna dhambi mbaya kama uwoga

Lowasa hana haraka ya kuhama chama ametulia kwanza atafakari Kwa kiina magumashi aliyofanyiwa na cc , huku watanzania nao wakitathimini mapungufu ya mchakato mzima ulivyokwenda . Kingunge kaanika Ukweli sasa ni jukumu la wapenda Haki kulitizama hilo Kwa jicho la tatu.
 

Hizo ni hisia na mawazo yako. Taratibu zao hazisemi hivyo!
Tukubali tu kuwa maneno ya mzee Kingunge ni facts. Hata hivyo namshangaa, ubatili huu ulikuwepo tangu Bunge la Katiba ila yeye alikaa kimya, nae huyu mzee ni walewale. Sioni tofauti ubatili huu ausemao leo kuhusu mchakato wa kumpata mgombea na ubatili ule wa kupata Katiba inayopendekezwa. Zote ni batili kwa maana kutofuatwa taratibu sahihi. Waandishi wa habar walitakiwa wamuulize kuhusu hilo, hili limemuumiza kwa kuwa alikuwa na maslahi nalo. La katiba ameona ni sawa, nae ni mnafiki pia!
 
Mzeee wachane pambana.Goli la mkono usikubali kuchakachuliwa
 
Wale wote 38 waliokatwa majina Yao wanalalamika chini chini lakini wengi ni wanafiki sana, wanaogopa kulalamika Kwa uwazi wakihofia kukosa Vyeo , Ubunge na Uwaziri kwenye Serikali ijayo ya magufuli , Unafiki ni sumu kubwa na cha Ajabu hapa Tanzania Msema Ukweli huwa Adui lakini Msema uongo na mpenda magumashi huwa rafiki wa wengi, Mzee kingunge kasema Ukweli na habari ndiyo hiyoo asiyekubali atabakia kuwa Mnafiki milele.
 

Kaamua kusitaafu unafiki kajiludi na kuamua kuweka uwazi na Ukweli ili watu wapate Somo.
 
Mchakato kuwa batili; kingunge kusema ukweli, vyote bure. Hapa ni habari ya "mbwa kala mbwa". Si CCM wala kingunge anayetuletea la maana. Wanafiki wamezidiana kete, period.
 

Maandishi yako yooootee hayawez kuondoa ukweli wa alichokisema mzee Kingunge. Hayo mambo ya kiimla ya China hayatuhusu hapa kwetu. Sisi tuna sheria zetu tofauti na za China. China ukila rushwa unatwangwa risasi, hapa kwetu unafungwa, fine au hata kudunda mitaani. Hivyo hayo mambo ya Kichina hayatuhusu, ukweli wa mzee Kingunge hakuna hata mmoja ataweza kuukanusha. Mzee huyu anakuwa mtu wa Tano katika watu waliopinga mchakato ulivyoendeshwa:-
1.Dr Nchimbi
2.Mama Sophie Simba
3.Kimbisa
4.Dr Kakokola
5.Mzee Kingunge

Watu hawa wote hawawez kuwa waongo!
 
Lowasa wetu tunamtaka,Pombe ni wa mfukoni kwa wazeee tumewekewa boya la kikwete hatutaki
 
Mropokaji hatumtaki.Mgombea wa mfukoni kwa kikwete hapana.Magufuliss big no
 
Hongera mzee Kingunge kwa kuwa katika ubora wako wa enzi zile za chama kushika hatamu. Nakusifu kwa kuzienzi zile ahadi za mwana TANU za kuusema ukweli daima. Ni kweli kamati ya maadili ilipoka mamlaka na madaraka ya NEC na kunyima haki ya kuwasikiliza wagombea. Haki haikuwepo zaidi ya kuburuzana. EL usife moyo ikimbie ccm kwani si mama yako useme utampata wapi mwingine. Kuwa mzalendo kwa kutoa mchango wako kivingine ili kuwaletea wananchi maendeleo. Hongera tena Kingunge kwa kutuweka wazi.
 
Yap, haiwez ikasababisha uhalali wa kilichotokea huko Dodoma hata kama yeye naye ni batili!
ivi ni lazima lowasa ndio awe raisi wa Tanzania? kwanini mapovu yanawatoka kwa ajili ya Lowasa tu? mbona wengine wamekaa kimya? ivi mmesahau hkuwa hata kikwete alifanyiwa ivi na alaikubali matokeao? huyu babu anazeeka vibaya na vijisenti anavopewa vinamchanganya sana. yampasa kuwa mshauri na sio kuwa sehemu ya makundi yanayo kitafuna chama. hakuna mtu mwenye hati miliki ya tanzania na wala Lowasa hakuzaliwa ili awe raisi wa wa tanzania.
 
Alikuwa wapi asiongee wakati wa mchakato kule Chimwaga, aje kuongea baada ya Magufuli kuteuliwa?

Hana lolote. Mnafiki tu.
 
Team Magufuli wajipange.
Safari ya matumaini haijaisha bado.Aluta Continua..
 

Mkuu Ngundengunde.
Kwa dhana hiyo (Kamati kuu ku-delegate kazi zake kwa kamati ya maadili) ili kurahisisha kazi zake, itakuwa imefanya kosa la msingi na la kihistoria, ikizingatiwa unyeti wa suala lenyewe.
 
Hivi alikatwa mtu mmoja tu au zaidi ya watu 30??????

Yes alikatwa mmoja,
wengine walmsindikiza huyo mmoja aliekatwa koz walijua tangu mwanzo wakati wanachukua fomu kuwa wasingeweza kushinda.
Una swali lingine mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…