Anasema wanalia shida Tu , kasema yeye hayoHalafu kwa utulivu gani alionao Kinje? Zuchu sio king'ang'anizi kumzidi Anitha lakini yalimshinda kajiondokea zake.
Haya waseme wengine sio Kinje, atulie azeeke kwa amani mapenzi aachie wengine.
Mkiwa hamna hela mara nyingi mnaishi safi tu mali,pesa zianze kuja 😄 hapo ndipo shida hutokeaHii haihusu tusio na hela.
Alikuw akiishi majengo au njoro kama sikoseiKumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.
Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.
Umenikumbusha mbali mnooo!
Hana hela kwasasa inaesemekanaKwa umri wake lazima apendewe pesa hakuna namna
Kujilinda ni haki yake akiteleza anapoteza Kila kitu
Tena sio madogo mkuumkuu yamekukuta na wewe
Pole mkuu ilikuaje watu wajifunzeTena sio madogo mkuu
Hapana, ni mtaa wa chini kule Msikiti wa Riadha.Alikuw akiishi majengo au njoro kama sikosei
Kaliman panaitwa, mitaa ya uswahilini.Hapana, ni mtaa wa chini kule Msikiti wa Riadha.
Ana kampuni za malori anasafirisha mafuta ukanda uleAmeacha kuuza unga
Huo ni uongoHana hela kwasasa inaesemekana
Nitaandaa uzi mkuuPole mkuu ilikuaje watu wajifunze
Naam, dah aiseee wewe wa nyumbani kabisa. Soko letu lilikuwa mbuyuni.Kaliman panaitwa, mitaa ya uswahilini.
Eeeh wa nyumban aiseee sema mi mchagga Og wa migombani.Naam, dah aiseee wewe wa nyumbani kabisa. Soko letu lilikuwa mbuyuni.
Sio kama enzi za kina k lynHuo ni uongo
had njoro kuna mashoga, aiseeAlikuw akiishi majengo au njoro kama sikosei
Tena huko ndiyo chimbo lao....had njoro kuna mashoga, aisee
Kwanza kamuharibu Nitha wetu shenzi zake