Kinje asema hatoweka malengo na mwanamke kwani wana tamaa ya kupitiliza, asema anaangalia maisha yake tu

Kinje asema hatoweka malengo na mwanamke kwani wana tamaa ya kupitiliza, asema anaangalia maisha yake tu

Kumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.

Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.

Umenikumbusha mbali mnooo!
Alikuw akiishi majengo au njoro kama sikosei
 
Back
Top Bottom