macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Cool down. Mafala kama hao wasikuharibie siku yako. Mapaka sasa hakuna anayejua chochote kuhusu hili tukio. Hatakama angekuwa ni muislam lakini hai-make sense kwa alichoandika. Kuna wakristo wengi tu wanafanya uhalifu.Wafukuzeni waislamu wote Tanzania iwe yenu yote.