macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Cool down. Mafala kama hao wasikuharibie siku yako. Mapaka sasa hakuna anayejua chochote kuhusu hili tukio. Hatakama angekuwa ni muislam lakini hai-make sense kwa alichoandika. Kuna wakristo wengi tu wanafanya uhalifu.Wafukuzeni waislamu wote Tanzania iwe yenu yote.
Mkuu acha uoga.Isije kukawa na wengine aisee. Leo ngoja nirudi home mapema. Napita MnaziMmoja, Magomeni Sinza, Tegeta. Sipiti hapo Stanbic leo[emoji23][emoji23]
Dah! Nchi ngumu sana hii. Huyo jamaa kashika machine nzito sana aiseKuingiza wapi? Madawa ya kulevya yanapoingizwa huwa wanapewa vibali?
Jamaa anachosema sema hujamuelewa. Like kilicho ndani yake sio kuwa ni ugaidi Wala Nini. Mie nimemuelewa.Ww unaroho ya kigaidi wakipatana watu wataamka kiaje?!
Mpaka sasa tunatoa hisia zetu tu. Tusubiri tusikie habari kamiliHuyu jamaa siyo mjinga, kuna ujumbe alikuwa anaufikisha. Vyombo vyetu vya usalama vinabidi kwenda extra miles, wasiishie tu kusema tumemuua.
Na mama sii alikuwa officers mess anaongea na manjagu yanayosema Mbowe gaidi?Ni kweli, kwenye magroup naona video zinatembea sasa risasi zikipigwa hapo Stanbic karibu na Salenda / Ubalozi wa Ufaransa,,,
Naona maombi yao ya Ugaidi yanaanza kujibiwaView attachment 1907597
Unaniuliza,unanihukumu?Ww unaroho ya kigaidi wakipatana watu wataamka kiaje?!
Hayo maneno anayoonekana kuyasema kama mashuhuda wameyasikia ni ishara nzuri ya dhamira yake kufanya tukio hilo kwani video nyingine inaonesha kwa sasa ni marehemu.Naona hali si shwari maeneo ya Salendar. Foleni kubwa mno. It seems kuna tukio lisilo la kawaida.
View attachment 1907581
Duuuh! Mbaya san awangejitahidi wasimuue ili wambane vizuri nadhani atakuwa ni masalia ya kibiti na msumbijiKwa maelezo ya waliokuwepoo jamaa alikua anatamka hataki kudilii na raia anataka askari tu...kauwa traffic kadhaaa
Gaidi alikuwa peupe mno, huenda huyo alikuwa anataka kufa tu...Kaz njema kwa sniper one mistake one goal
Jamaa kwenye video anaonekana kavaa kikofia flani hivi chechefu.
Hizo ndevu ni za kweli?Huoni ndevu
😅Isije kukawa na wengine aisee. Leo ngoja nirudi home mapema. Napita MnaziMmoja, Magomeni Sinza, Tegeta. Sipiti hapo Stanbic leo[emoji23][emoji23]