siro msimuamini , kabisa hana chembe ya ukweliMajira ya leo mchana IGP Simon Siro amesema kwenye majibizano ya Risasi aliyokuwa yakiendelea Dar es salaam kati ya police na Raia mmoja asiyejulikana.
Police wawili wamepoteza maisha kwenye majibizano pamoja na mtu huyo aliyekuwa akijibizana Risasi na police nae kauwawa mwenye asili ya Kisomalia.
Unamuuwaje mtu mmoja wamepoteza ushahidi je yuko na wenzake,na kwanini aliamua kutenda haya wamepoteza ushahidialafu jamaa alishaamua kusimama mwenyewe na machine akaiacha inaning'inia kifuani, wangemchapa tu miguu ili wajue alichokuwa amekusudia.
Umeona video mkuu? Hakuna cha sniper hapo.Narudi kwa target aliopigwa,mpigaji ni mjuzi wa shabaha .risasi moja ya kichwa tena naisi imepigwa na mtu aliekua juu.NDUGU ISIKIE TU HIO KITU INAITWA SMG -1954
Hasa traffic yana mambo ya ajabu mnooKwa maelezo ya waliokuwepoo jamaa alikua anatamka hataki kudilii na raia anataka askari tu...kauwa traffic kadhaaa
Unatamani bunduki yake iliyouwa sio?Duh kumbe alishawalamba wawili
Traffic wapewe silaha za nini?Trafiki wapewe silaha wanapokuwa barabarani walindane wao kwa wao. Very very sad. Inauma na inasikitisha sana.
Hili basi/daladala ni jeupe !!?Naona hali si shwari maeneo ya Salendar. Foleni kubwa mno. It seems kuna tukio lisilo la kawaida.
View attachment 1907581
Officers wawili wapo chini unasema amateur upo timamu kweli?He is just another Confused Extremist, mtu kama huyu alitakiwa awe incapacitated, yaani wangeshoot mikono au miguu apate tu kilema Ili ahojiwe vizuri na Ili atueleze vizuri huu ujasiri kautoa wapi..
Sio uamsho huyu kweli?
Angetaka raia angeuwa kuna daladala inaonekana imepaki pembeni ndani inaonesha ilikuwa na abiriaKwa maelezo ya waliokuwepoo jamaa alikua anatamka hataki kudilii na raia anataka askari tu...kauwa traffic kadhaaa
alafu atakuwa aliishiwa risasiUmeona video mkuu? Hakuna cha sniper hapo
Hii imekaa kama movie ya utayari jambazi gani hakimbii, hajifichi, hashambulii basi ili apate hata human shield ajaribu kutoroka??Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?...
Narudi kwa target aliopigwa,mpigaji ni mjuzi wa shabaha .risasi moja ya kichwa tena naisi imepigwa na mtu aliekua juu.NDUGU ISIKIE TU HIO KITU INAITWA SMG -1954
Kwani Dereva wa Bajaj no mjinga!Mbona kwenye bajaji hamna mtu? Imefikaje fikaje hapo bila mtu[emoji3]
Professional gani anatembea kwa uwazi bila kuwaza atafyatuliwa muda si mrefuOfficers wawili wapo chini unasema amateur upo timamu kweli?