Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Isije ikawa katumwa ili kuondoa watu kwenye reli ya kujadili Chanjo na Gwajima πŸ˜‚πŸ˜‚, halafu wakamwambia hatutakupiga risasi, baadae wakamgeuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Binafsi nimemuonea huruma huyu mtu. Kwa jinsi alivyokua anaongea ni kama kuna vitu alitaka asikilizwe Since hakua na lengo la kushambulia raia. My nerves tells me that ni mtu wao maybe na wao wanataarifa nae na wameshajilidhisha ndio maana wamempiga risasi ya kichwa.
Kama wasingekua wamejiridhisha wangemjeruhi ili wapate Taarifa zaidi
 
Nyie ndio mnaosapiti ugaidi hamna pakujificha
 
Intelijensia ya polisi wetu ni ku deal na upinzani tuu. Huyu mtu amaepata wapi silaha za kivita hadi ndani ya Jiji. ?? Ikisikika Chadema wanaanda mkutano mara paaah, kikosi kiko hapo.
 

Watizee bwana! Bado wanaendelea kumuua.kama vile kuna kufa mara mbili. Mwingine anajaribu kufukia moshi huku moto ukiwaka eti yule kapumzika pale wamsaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…