Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Ila ingekuwa wameambiwa wakadeal na chadema hakika ungefurahi mwenyewe
 
Muanze sasa kupambana na magaidi halisi sio wa kubumba.

Mmoja tu lakini kafanikiwa kuua askari wawili wenye silaha tena mchana,aibu sana
 
Uyo wa 4 atakua ni yule alie enda kindezi na mguu wa kuku bila tahadhar yoyote
 
Ngoja wawakute mkiwa watu 10 mnajadili katiba Mpya. Wanawaita Waandishi wa habari na kuutangazua umma kwamba wamekamata Magaidi.
 
Waliouawa hawakuwa traffics,ni askari wenye silaha na tena walinyang'anywa silaha.

Waendelee kupambana na wapinzani na Magaidi feki,ila magaidi halisi wakipiga simu pokeeni msikimbie maana wameanza kwa kubeep kwanza.
Gaidi mmoja ananyanganya watu wanne siraha na kuwaua? inamaana wangekuwepo askari wengi zaidi jamaa lingewamaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…