Utaikanyaga kijana...Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Hilo la msako naungana na wewe imagine Kuna waarabu huwa wanapita wanauza vyombo hata kiingereza hawajui huwa najiuliza hawa watu wanafikaje mitaani kwenye nyumba za watu kwa kazi za kuuza vyombo? Inamaana wameingia nchini kuja kupepeleza mitaa ya watu? Sasa machinga na mtu asiyejua hata kiingereza Wala kiswahili vinaendana? Polisi wajitahidi kuwa walinzi.nawapongeza sana Askari wetu kwa kazi nzuri.
nashauri Msako ufanyike nyumba kwa nyumba Hoteli kwa hoteli, bar kwa bar.
Majambazi tunaishi nao ktk maeneo yetu mitaa yetu, mahoteleni n.k.
Polisi wetu tunawaomba kamwe msilale. Badilisheni mbinu.
Majambazi sio wakuwachekea washa moto tu, pigeni risasi hawa watu wafe wote.
wasakeni hata wakiwa shimoni.
Acha hizo wewe, vip askari waliofariki wangekuwa wazazi wako, ungesema haya??Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania. Wasomali ruhusa kuzaa na dada zetu. Milioni 60 wote tuko madada tu hapa.
Unawalaumu bure tu!Polisi wetu leo wamedhihirisha pasi na shaka kabisa kwamba ni dhaifu mno.
Wanatoka wengi kama kumbikumbi kwenda kupambana na mtu mmoja😳
Ndio maana jamaa hakupata shida kuwatungua.
Polisi ilikuwa zamani, hawa wa sasa wanasubiri amri ya kupambana na upinzani, kuomba rushwa na kupalilia matumbo.
Acha hizo wewe, vip askari waliofariki wangekuwa wazazi wako, ungesema haya??
Mtu ametoka nyumbani vizuri kwenda kazini yakamkuta ya hivo, wewe uchekelee??
Familia za askari wetu hawa unafikiri saivi zikoje???
Siasa za vyama zisikufikishe huku
Umeliwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
unatania wewe! Ila ikifika zamu yako kupigiwa usisite kupokea mkuu. Udadisi ulimuua pakaNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Sniper! seriously? Wamepiga marisasi mpaka keshakufa tayari wao wanaendelea tu bila kutanabahi.kashapigwa shaba ya kichwa moja tu na sniper, ndiyo maana nitabisha mpaka mwisho kuwa tundu lissu alivamiwa na serikali, haiwezekani kabisa kupoteza shaba sijui 36 nonsense
Ungekuta ni ndug yako ndio kapigwa risasi usingeaandiaka hvNchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania. Wasomali ruhusa kuzaa na dada zetu. Milioni 60 wote tuko madada tu hapa.
Hapana,Hivi jina ni hilo Salenda kweli?
Ungekuta ni ndug yako ndio kapigwa risasi usingeaandiaka hv
Kabisa mkuu tuombe MUNGU atunusuru.
Umejitafutia kesi kipumbavu sana, ukilala kwako Leo ni bahatiNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Huyu kama ange-attack raia ndo polisi wangekuwa na kazi kubwa zaidi ila wamejipa wenyewe kazi kwa kukosa kwao maarifa namna ya kumkamata akiwa hai ili kesi iwe ndogo.Huyu ni gaidi period.
Polisi wajitafakari sana
Msako uanze haraka sana mpakani Namanga na vitongoji vyake