Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

nawapongeza sana Askari wetu kwa kazi nzuri.
nashauri Msako ufanyike nyumba kwa nyumba Hoteli kwa hoteli, bar kwa bar.
Majambazi tunaishi nao ktk maeneo yetu mitaa yetu, mahoteleni n.k.
Polisi wetu tunawaomba kamwe msilale. Badilisheni mbinu.
Majambazi sio wakuwachekea washa moto tu, pigeni risasi hawa watu wafe wote.
wasakeni hata wakiwa shimoni.
Hilo la msako naungana na wewe imagine Kuna waarabu huwa wanapita wanauza vyombo hata kiingereza hawajui huwa najiuliza hawa watu wanafikaje mitaani kwenye nyumba za watu kwa kazi za kuuza vyombo? Inamaana wameingia nchini kuja kupepeleza mitaa ya watu? Sasa machinga na mtu asiyejua hata kiingereza Wala kiswahili vinaendana? Polisi wajitahidi kuwa walinzi.
 
Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania. Wasomali ruhusa kuzaa na dada zetu. Milioni 60 wote tuko madada tu hapa.
Acha hizo wewe, vip askari waliofariki wangekuwa wazazi wako, ungesema haya??

Mtu ametoka nyumbani vizuri kwenda kazini yakamkuta ya hivo, wewe uchekelee??

Familia za askari wetu hawa unafikiri saivi zikoje???

Siasa za vyama zisikufikishe huku
 
Polisi wetu leo wamedhihirisha pasi na shaka kabisa kwamba ni dhaifu mno.

Wanatoka wengi kama kumbikumbi kwenda kupambana na mtu mmoja😳
Ndio maana jamaa hakupata shida kuwatungua.

Polisi ilikuwa zamani, hawa wa sasa wanasubiri amri ya kupambana na upinzani, kuomba rushwa na kupalilia matumbo.
Unawalaumu bure tu!

Wewe ulitaka polisi wangapi ndiyo wapambane naye?

Hao polisi unaowalaumu walikuwa wanajua kila kitu kuhusu hatari iliyokuwepo? Walikuwa wanajua kuna mtu mmoja tu anayehatarisha usalama na hakuna wengine waliojificha sehemu?

This is so ridiculous.
 
Kwani Lissu hana familia? Azory je? Na Mawazo? Na wale waliopigwa risasi kule Pemba Oktoba 2021? Wote walikuwa na familia zao.
Acha hizo wewe, vip askari waliofariki wangekuwa wazazi wako, ungesema haya??

Mtu ametoka nyumbani vizuri kwenda kazini yakamkuta ya hivo, wewe uchekelee??

Familia za askari wetu hawa unafikiri saivi zikoje???

Siasa za vyama zisikufikishe huku
 
Nyingine hii
IMG_20210825_191314.jpg
IMG_20210825_185220.jpg
 
kashapigwa shaba ya kichwa moja tu na sniper, ndiyo maana nitabisha mpaka mwisho kuwa tundu lissu alivamiwa na serikali, haiwezekani kabisa kupoteza shaba sijui 36 nonsense
Sniper! seriously? Wamepiga marisasi mpaka keshakufa tayari wao wanaendelea tu bila kutanabahi.
 
Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania. Wasomali ruhusa kuzaa na dada zetu. Milioni 60 wote tuko madada tu hapa.
Ungekuta ni ndug yako ndio kapigwa risasi usingeaandiaka hv
 
Huyu ni gaidi period.
Polisi wajitafakari sana
Msako uanze haraka sana mpakani Namanga na vitongoji vyake
Huyu kama ange-attack raia ndo polisi wangekuwa na kazi kubwa zaidi ila wamejipa wenyewe kazi kwa kukosa kwao maarifa namna ya kumkamata akiwa hai ili kesi iwe ndogo.

Kwenye issue za usalama kama hizi zinataka sana maarifa ya kumthibiti mtendaji abaki hai hata kama atapumulia machine ila awe hai ili kupata chain yote na nini chanzo chake.
 
Yule jamaa ambae Serikali inamwita kuwa ni "gaidi" hana uwezo wa kuua Polisi.Lile tukio ni staged event.Limepangwa na muda siyo mrefu Serikali itaanza kujiumbua yenyewe kwa sababu hawajawahi kuwa na akili katika kupanga matukio.
 
Back
Top Bottom