Umeona ee. Sio Mbowe gaidi fake
π π π[emoji23][emoji23][emoji23]nmeikuta mahaliView attachment 1907993
Sawa ndugu tumeiona missed call yako.. Tutakutafuta utupe taarifa kuhusu huyu mhalifuNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Acha kujitia matatizon mkuu.Huku mkuranga wale simu zao zilihidhia na kila namba kwenye recent call zilifuatiliwa na waliopatikana waliona dunia ilivyo chunguNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Naona wazee mmeamua mtunishiane misuli nyuma ya keyboards za vifaa vyenu hahah!!!Mimi ndio inapaswa nikutafute wewe na sio wewe unitafute mimi...
Chanika kunaendeleaje?
View attachment 1908068
Kubwa ndio kujua undani wa marehemuHao watu wake Wana kosa gani??.Labda km kwaajili ya kutaka kujua undani wa Marehemu Gaidi.
Hapo sawa.View attachment 1908068
Familia yake na watu wake wakaribu hadi muda huu wanatakiwa wawe wapo under arrest kwenye comment hapa anasemekana kuishi
Kubwa ndio kujua undani wa marehemu
Drill hiyo acha ujinga .Dah inaogopesha. Na ni juzi huko Mombasa Kenya polisi waliwawahi magaidi wawili ambao walikuwa na AK 47 wakienda kuvamia kituo cha polisi. Aliyewauza ni gaidi mwenzao aliyekamatwa na kutoa siri. View attachment 1907803
Hahahahah angemshika kamanda muroto ningecheka sana πππ"Kijana mzuri, mnene lakini unakua gaidi" in Muroto voice.
Hii vp nimeikuta humu jfYule jamaa ambae Serikali inamwita kuwa ni "gaidi" hana uwezo wa kuua Polisi.Lile tukio ni staged event.Limepangwa na muda siyo mrefu Serikali itaanza kujiumbua yenyewe kwa sababu hawajawahi kuwa na akili katika kupanga matukio.
Yule mzee alikua vizuri sana.Hahahahah angemshika kamanda muroto ningecheka sana πππ
Hii siyo ID bali ni extract ya data toka Mobile Service Provider!!Kuna mengi ya kujadili hapa[emoji116]View attachment 1907954View attachment 1907955