Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

inadaiwa Mbowe aliwarubuni na kuwatumia vijana wafuatao katika matendo ya Kigaidi;
1. HALFANI BWIRE HASSAN
2. ADAM HASSAN KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILAHI LINGWENYA.
Tafakakuri.
kwa nini alikuwa ana target maaskari tu?! aliwalenga kuwauwa maaskari.
 
Mzembe sana yule Askari na si uliona alipigwa risasi? Labda he was trying to be a hero kitu ambacho mtu hupaswi kufanya...sijui anaendeleaje maana pale mwishoni wenzake walienda kumsaidia. Tumuombee apone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…