kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Unaweza ingia hatiani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Hapo nimeona,amefanya kitu mbaya sana.View attachment 1908070
Hayo maji ?!
Ziweke hapa hizo taratibu nami nizisome ili nijiridhishe kwamba hutungi….Taratibu za kijeshi ni kwamba huwezi kupeleka kikosi bila kujua uzito au wepesi wa adui.
Traffic silaha yao kubwa barabarani ni mashine ya EFDTraffic hawakai na silaha barabaran
Lazima akasaidie polisi aisee...Jiandae kuunganishwa na marehemu maana namba zote zilizopo kwenye simu yake na zile zinazoingia zitafuatiliwa kwa umakini mkubwa
Macho hayasomeki intelligent,detached ,critical,man with a mission???????????????View attachment 1908147
Ila Mwamba Alikua ameshiba aisee, yaani hapo watu wazima kama kasimama na katuni
[emoji23][emoji23][emoji23]nmeikuta mahaliView attachment 1907993
Ukiskia difenda imepaki mlangoni kwako usishangae. Watakuuliza tu mmejuana vipi?Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Ebwanaee....kumbe mwana kabisa
Hakika hawa jamaa hawafai.Kweli mkuu,,wasomali tuwenao makini mno. Vita yao na wakenya cc tusiingilie,, tuwaache watamalizana wenyewe.
Kumbe unamfaham kesho asubuhi njoo kituo cha police central kwa mahojiano,, usipokuja tutajua namna ya kukupata asante,,
Aisee,jamaa kaamua kuacha bata zote hizi!!.
Mzembe sana yule Askari na si uliona alipigwa risasi? Labda he was trying to be a hero kitu ambacho mtu hupaswi kufanya...sijui anaendeleaje maana pale mwishoni wenzake walienda kumsaidia. Tumuombee aponeWakuu,kuna video moja jamaa flani hivi watu wanasema ni askari alimfata yule bwana mkubwa kibandani,wakati bwana mkubwa akiwa anarushiana risasi na askari,hivi yule jamaa ambae ni askari aliingiaje pale katikati ya msitu wa risasi,tena kizembe namna ile?