Ile ni picha ya mtu alieigiza kwenye filamu inayoelezea maisha ya Yesu. Understand the difference.Inakuwaje wanajamvi!
Bwana Yesu asifiwe na awabariki wote hadi mshangae!
Tukio la kuogopesha la kigaidi leo lililopelekea kupotea kwa maisha yasiyokuwa na hatia ni tukio la aina yake.
Nimechunguza ile Coaster Gaidi alisimama kando yake ilikuwa na picha ya Yesu nyuma.
Bwana ndie mchungaji wetu hatutapungukiwa na kitu. View attachment 1908233
😂😂😀😁😁😃🤣😁😂😀😅bongo hatuna askari
Mtu anatembea anajiachia vile
Uyo ni wa risasi moja tu
aman imetuponza
Mkuu, una uhakika na hayo maneno, au una maana maisha yasiyo na hatia ya huyu "gaidi"?Tukio la kuogopesha la kigaidi leo lililopelekea kupotea kwa maisha yasiyokuwa na hatia ni tukio la aina yake.
Endelea kufafanua zaidi. Kwamba kuna maslah ya wababe yameguswa au?Nina uhuru wa kuwaza , sivyo?
Mi sijui, naona dots tu hizo, je kuna connection?Endelea kufafanua zaidi. Kwamba kuna maslah ya wababe yameguswa au?
Yule askari angeenda na bomu la kurisha na mkono, alivyokuwa amesogea vile angeweza kuwin kirahisi sana.Mzembe sana yule Askari na si uliona alipigwa risasi? Labda he was trying to be a hero kitu ambacho mtu hupaswi kufanya...sijui anaendeleaje maana pale mwishoni wenzake walienda kumsaidia. Tumuombee apone
We fala, unambiwa polisi walitaka kumudhumu dogo dhahabu, hapo ndipo dogo akawahi!!inadaiwa Mbowe aliwarubuni na kuwatumia vijana wafuatao katika matendo ya Kigaidi;
1. HALFANI BWIRE HASSAN
2. ADAM HASSAN KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILAHI LINGWENYA.
Tafakakuri.
kwa nini alikuwa ana target maaskari tu?! aliwalenga kuwauwa maaskari.
Ndio sijakataa polisi wengi ni waonevu. Ila katika mazingira ya kazi zao inabidi watii na wafuate amri. Polisi siyo watu baki ama wahamiaji ni ndugu, baba, mama, kaka zetu katika jamii. Ni mfumo ovu wa hiki chama ndo unapelekea uhasama kwenye jamii na siyo polisi tu.Mkuu, una uhakika na hayo maneno, au una maana maisha yasiyo na hatia ya huyu "gaidi"?
KabisaBila kumjua Hamza ni nani, tumepigwa.
Inakuwaje wanajamvi!
Bwana Yesu asifiwe na awabariki wote hadi mshangae!
Tukio la kuogopesha la kigaidi leo lililopelekea kupotea kwa maisha yasiyokuwa na hatia ni tukio la aina yake.
Nimechunguza ile Coaster Gaidi alisimama kando yake ilikuwa na picha ya Yesu nyuma.
Bwana ndie mchungaji wetu hatutapungukiwa na kitu. View attachment 1908233
IF YOU DON'T LOVE JESUS WHO THE HELL WILL YOU LOVE?Ile ni picha ya mtu alieigiza kwenye filamu inayoelezea maisha ya Yesu. Understand the difference.
KabisaTuendelee kuumia kimoyo moyo na tozo huku tukiendelea kutafakari hili tukio
bongo hatuna askari
Mtu anatembea anajiachia vile
Uyo ni wa risasi moja tu
aman imetuponza