alumelunda
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 753
- 918
Wanasubidi alale, saa 9 usiku watamviziaWale wataalam wa kukamata magaidi wanashindwa na mtu mmoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasubidi alale, saa 9 usiku watamviziaWale wataalam wa kukamata magaidi wanashindwa na mtu mmoja?
Vyombo vyetu vipo tayati muda wote kukamata wapinzani na wanaharakati
Tunaweza kuwaza nadharia nyingi. Pia inawezekana ni mtu malaria imepanda kichwani akafanya hayo. Baada ya muda tutapata habari kamili.
Yaani hii ni dharau ya kutosha
Usikute wengine walitumiana pesa bila hata kujuana kwa biashara za mtandaoniAliokuwa na mawasaliano nao sana watapata tabu sana
Iyo inaitwa one shot for the head mkuu.
Kwani katumia zaidi ya laki sita?Hao ndio magaidi sasa mliokuwa mkiwalilia
Akiombacho mtu hupatiwaHao ndio magaidi sasa mliokuwa mkiwalilia
Huyu jamaa atakuwa Msomali, na naamini atapigwa risasi na wadunguaji...
Na wewe ungetafuta sehemu nyingine ya kuombea hizo kura zako.wadau nipigieni kura fungua link hiyo https://www.jamiiforums.com/threads/ondoa-hofu-anza-sasa-kuthubutu.1903948/reply?quote=39978643
Ulitaka wafanyaje?!Wanaume wa dar wengiwao wamelegea ndiyomaana washkaji wanavamia mchana kuweupee. Wee angalia juu ya ghorofa mishkaji inajiinamia 😁😁😁😁😁
sawa. sawa.wadau nipigieni kura fungua link hiyo https://www.jamiiforums.com/threads/ondoa-hofu-anza-sasa-kuthubutu.1903948/reply?quote=39978643
Browser yangu hainipi option ya kuvotewadau nipigieni kura fungua link hiyo https://www.jamiiforums.com/threads/ondoa-hofu-anza-sasa-kuthubutu.1903948/reply?quote=39978643
Huko Tz kwa kweli Askari bado sana, ni vile tu nchi imetulia hebu check huyo Mtu mmoja alivyosumbua hapo, anatembea tu free kabisa kabla ya kufikiwa na askari?Si huwa kuna askari muda mwingi hapo kwenye kona ya kuelekea Masaki?
Hata Usalama wa Taifa si mbali sana hapo, kituo cha polisi Selander kipo karibu pia, hapo nyuma nyumba za O'bay kuna wastaafu kadhaa wa JWTZ