Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Siongei nimeandikasasa unaongea nini hapa?
Sijui unahoji nini askari wa keyboard
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siongei nimeandikasasa unaongea nini hapa?
Duh, hii inafikirisha ila sasa mkuu mbona yeye kauwawa live na hao hao polisi...Polisi walioishiwa mbinu na uongo unazidi ndio madhara yake haya , uliona wapi gaidi anaangalia watu na anawageukia wampige picha vizuri? hakuna cha gaidi wala nini haya ni matokeo ya sinema feki za SIro lile lijamaa ni lipolisi mara nyingi linakaaga pale kona ya Serena minyama uzembe flani hivi, hakuna aliyekufa wala nini sanaa za maonyesho hizi, jiulize sehemu sensitive kama ile na leo Rais alikua oficers mess then atokee eti gaidi ana silaha mbili AKA47 , jiulize kapita wapi hadi kafika pale?
Huko alikotoka hawakumuona? yaani Siro ni failure sana hawezi hata kutengeneza tukio, ndiomaana wanasema inteligence means inteligent sasa hawa zero wetu ati ndio wakutegemea, sahau kabisa, wametoka mupigwa vijembe waachie mahabusu wasio na upelelezi mara paap jamaa anapiga selfie na bundukli mbili eneo hilohilo eti gaidi, jamani, hivi Polisi wanatuonaje watanzania?
Gaidi ni Mbowe. huyo wa Selander ni Raia mwema.Kwani gaidi nini maana yake? Tuelimishe mkuu
Sijui mkuuInstagram anatumia jina gani?
Na Twitter?
Askari wa field ni wewe. HongeraSiongei nimeandika
Sijui unahoji nini askari wa keyboard
Inteligensia haikufaya kazi, ila kwa mikutano ya chadema inafanya kazi..rubbish!
Nilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
Nasubiri wataalamu wa intelligencia hapa jf waje watudadavulieRetailer name itakuwa inahusika na nini hapo?
Mwamba katisha mjini😁Wanne?tayari ni mass shooting event
Wacha ujinga wewe. Unatuma pesa kwa namba yake ya simu kisha mapolisi watakuja kubisha mlangoni kwako eti wewe ni accomplice wake? Yaani kwamba mnashirikiana pamoja. Usiwe mjinga kiasi hicho. Unahatarisha maisha yako bure.Utakuwa umenakili namba vibaya..
Nmecheki kasajili kwa jina la HAMZA MOHAMMED
kweli kabisa ni dharau kubwaYaani hii ni dharau ya kutosha
UNAYAONGELEAJE HAYA MAUAJI YA POLISI WETU DADA NINI KIFANYIKE KUZUIA YASITOKEE TENA?Msemaji wa Jeshi la Polisi ametoa taarifa mpya kwamba mpaka sasa idadi ya waliouawa ni watu 4 , askari watatu , mmoja ni mlinzi wa kampuni binafsi ya SGA , huku jeshi la polisi likimuua Mshambuliaji na kufanya waliofariki kufikia wanne
Waliojeruhiwa ni watu 6 .
Nilikua natesti mitambo[emoji4]Mkuu ulitaka utume rambi rambi [emoji23][emoji23]
Sijui, eleza basi au kijana msomali aliwabembeleza askari wampatie silaha.unajua maana ya ambush...?.
Waulize mbona bar nzima walimshindwa jamaa na kibastola pale sinzaAskari wa kwenye keyboard uko vizuri.
Acheni ujuaji wabongo, unamjua mtu aliyepanic alaf ana risasi ziko chamber?
Unakijua chuma wewe? Mtu anazo njugu sio chini 30 alaf amepanic, ushawahi kukutana na hiyo hali???
Hata mafunzo ya mgambo uliwahi pitia ukashika chuma au mtu akashika chuma hata mko mazoezi ya kulenga shabaha tuu??
Acheni ujuaji wazee