Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Naomba leo iwe mwisho wa trends za Hamza.
Tunaomba walau Rayvanny amfanye tukio kwa Paula ili tuhangaike nao.
 
Hamza hakuwa ubalozini, na hakuuwawa ubalozini. Hamza alikuwa eneo la wazi lililokuwa karibu na ubalozi wa ufaransa, ni barabarani, mtu yoyote anafika na kupita. Hamza alikuwa na visa binafsi dhidi ya Polisi wa Tanzania, alisikika hivyo na aliwalenga polisi.

Tusilazimishe mambo ya kipuuzi hapa JF.
Asante kwa ufafanuzi
 
Hamza hakuwa ubalozini, na hakuuwawa ubalozini. Hamza alikuwa eneo la wazi lililokuwa karibu na ubalozi wa ufaransa, ni barabarani, mtu yoyote anafika na kupita. Hamza alikuwa na visa binafsi dhidi ya Polisi wa Tanzania, alisikika hivyo na aliwalenga polisi.

Tusilazimishe mambo ya kipuuzi hapa JF.
Asante kwa ufafanuzi
 
Pole jeshi la polisi pia pole taifa kwa msiba mzito ulio tukuta kama Taifa. Ila Kuna ukweli watanzania wanaitaji kujuwa na ukweli huwo utatuweka huru na kila maneno yanayo endelea kwa sasa.
Sidhani kama itakuwa vyema jeshi la polis liachiwe jambo hili pekeyake pasipo kuunda kamati maalumu yenye watu wenye ujuzi na weledi ktk maswala ya kiusalama na sheria kisha waweke report hiyo adharani.
Mimi nadhani tungeanzia hapo bunge au Rais mwenyewe mmoja wapo aunde tume. Hili swala uwenda likawa na mambo mengi tusio yajuwa. Bado nina amini nchi yetu ipo salama na vyombo vyetu vya ulinzi vipo imara. Asante
 
Pole jeshi la polisi pia pole taifa kwa msiba mzito ulio tukuta kama Taifa. Ila Kuna ukweli watanzania wanaitaji kujuwa na ukweli huwo utatuweka huru na kila maneno yanayo endelea kwa sasa.
Sidhani kama itakuwa vyema jeshi la polis liachiwe jambo hili pekeyake pasipo kuunda kamati maalumu yenye watu wenye ujuzi na weledi ktk maswala ya kiusalama na sheria kisha waweke report hiyo adharani.
Mimi nadhani tungeanzia hapo bunge au Rais mwenyewe mmoja wapo aunde tume. Hili swala uwenda likawa na mambo mengi tusio yajuwa. Bado nina amini nchi yetu ipo salama na vyombo vyetu vya ulinzi vipo imara. Asante
Mkuu rekebisha ni Selander Bridge
 
Popote duniani Ardhi ulipo ubalozi ni nchi nyingine

Ulipo ubalozi wa ufaransa ni nchi ya ufaransa

Askari waliokuwepo waliouawa walikuwa kwenye ardhi ya nchi ya ufaransa eneo la ubalozi wa ufaransa Tanzania

Hamza ni gaidi sababu alirusha risasi na kuua watu waliokuwa kwenye ardhi ya nchi ya ufaransa polisi watatu na mlinzi mwingine wakiwa nchini ufaransa na risasi zikatua nchi ya ufaransa

Ni gaidi sababu kavamia nchi ingine na kuvurumisha marisasi hivyo ni gaidi

mkuu unajua maana ya gaidi lakini?
 
Pole jeshi la polisi pia pole taifa kwa msiba mzito ulio tukuta kama Taifa. Ila Kuna ukweli watanzania wanaitaji kujuwa na ukweli huwo utatuweka huru na kila maneno yanayo endelea kwa sasa.
Sidhani kama itakuwa vyema jeshi la polis liachiwe jambo hili pekeyake pasipo kuunda kamati maalumu yenye watu wenye ujuzi na weledi ktk maswala ya kiusalama na sheria kisha waweke report hiyo adharani.
Mimi nadhani tungeanzia hapo bunge au Rais mwenyewe mmoja wapo aunde tume. Hili swala uwenda likawa na mambo mengi tusio yajuwa. Bado nina amini nchi yetu ipo salama na vyombo vyetu vya ulinzi vipo imara. Asante
Kesi ya nyani upeleke KWA ngedere
 
Popote duniani Ardhi ulipo ubalozi ni nchi nyingine

Ulipo ubalozi wa ufaransa ni nchi ya ufaransa

Askari waliokuwepo waliouawa walikuwa kwenye ardhi ya nchi ya ufaransa eneo la ubalozi wa ufaransa Tanzania

Hamza ni gaidi sababu alirusha risasi na kuua watu waliokuwa kwenye ardhi ya nchi ya ufaransa polisi watatu na mlinzi mwingine wakiwa nchini ufaransa na risasi zikatua nchi ya ufaransa

Ni gaidi sababu kavamia nchi ingine na kuvurumisha marisasi hivyo ni gaidi
Mh! makubwa
 
Mtakuja kutuambia sasa sisi ambao hatuta chanja chanjo ya corona ni magaidi, ngoja muone
 
Popote duniani Ardhi ulipo ubalozi ni nchi nyingine

Ulipo ubalozi wa ufaransa ni nchi ya ufaransa

Askari waliokuwepo waliouawa walikuwa kwenye ardhi ya nchi ya ufaransa eneo la ubalozi wa ufaransa Tanzania

Hamza ni gaidi sababu alirusha risasi na kuua watu waliokuwa kwenye ardhi ya nchi ya ufaransa polisi watatu na mlinzi mwingine wakiwa nchini ufaransa na risasi zikatua nchi ya ufaransa

Ni gaidi sababu kavamia nchi ingine na kuvurumisha marisasi hivyo ni gaidi
Hivi una akili kweli wewe! Pale nje hakuna ubalozi wa Ufaransa.
 
Popote duniani Ardhi ulipo ubalozi ni nchi nyingine

Ulipo ubalozi wa ufaransa ni nchi ya ufaransa

Askari waliokuwepo waliouawa walikuwa kwenye ardhi ya nchi ya ufaransa eneo la ubalozi wa ufaransa Tanzania

Hamza ni gaidi sababu alirusha risasi na kuua watu waliokuwa kwenye ardhi ya nchi ya ufaransa polisi watatu na mlinzi mwingine wakiwa nchini ufaransa na risasi zikatua nchi ya ufaransa

Ni gaidi sababu kavamia nchi ingine na kuvurumisha marisasi hivyo ni gaidi
Kasome na kujielimisha nini maana ya neno 'gaidi'.
 
Hamza hakuwa ubalozini, na hakuuwawa ubalozini. Hamza alikuwa eneo la wazi lililokuwa karibu na ubalozi wa ufaransa, ni barabarani, mtu yoyote anafika na kupita. Hamza alikuwa na visa binafsi dhidi ya Polisi wa Tanzania, alisikika hivyo na aliwalenga polisi.

Tusilazimishe mambo ya kipuuzi hapa JF.
Kuna watu mibichwa yao imejaa usaha badala ya ubongo.
 
Pole jeshi la polisi pia pole taifa kwa msiba mzito ulio tukuta kama Taifa. Ila Kuna ukweli watanzania wanaitaji kujuwa na ukweli huwo utatuweka huru na kila maneno yanayo endelea kwa sasa.
Sidhani kama itakuwa vyema jeshi la polis liachiwe jambo hili pekeyake pasipo kuunda kamati maalumu yenye watu wenye ujuzi na weledi ktk maswala ya kiusalama na sheria kisha waweke report hiyo adharani.
Mimi nadhani tungeanzia hapo bunge au Rais mwenyewe mmoja wapo aunde tume. Hili swala uwenda likawa na mambo mengi tusio yajuwa. Bado nina amini nchi yetu ipo salama na vyombo vyetu vya ulinzi vipo imara. Asante
Polisi warudishe dhahabu za hamza mara moja.
 
Back
Top Bottom