Kinyaa penati ya Yanga vs Namungo

Huja

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2021
Posts
1,167
Reaction score
1,848
nimeita kinyaa kwa sababu ya maamuzi yenye kinyaa.

Bila aibu...refa anaamua penati kabisa hata akili ya mtoto mdogo inakataa. Sidhani kama ni hakuona ukweli wa namna beki alivyocheza....refa hakua mbali na tukio... Hata kama refa alisubiria tukio hilo si kwa kwa uwazi ule.

Azam Tv wamewekeza ktk live matches.. tukiamini tunapiga hatua soka lakini maamuzi kama haya hutamani kuangalia baadhi ya mechi ..je energy na muda wa maandalizi yanaaamuliwa kwa style hizi.

Lakini TFF wanafanyaje kwa maamuzi kama haya ni adhabu wanatoa..kumfungia mtu mechibtu.... Lakini kwa nini inajirudia rudia.
Tutegemee nini level ya national team kupiga hatua.

Akili za TFF , ....Hakuna weledi, hakuna maono. Tutabaki tu kuwa watazamaji ktk international stages kwa sababu soccer culture yetu....Nani saratani wa soka la Tanzania.

inatosha au ndo tuendelee na soka letu hivi.....
 
Washabiki wa Yanga wasiposema ukweli nitaona Kweli Tanzania kuna shida kwenye vichwa vya watu. Inatia kichefuchefu kwa wapenzi wa mpira unaenda kuangalia match ambayo ni rigged. Hii ni match fixation tff wachunguze na Takukuru wanuse kuna harufu ya rushwa
 
Penati zote wanazopewa Yanga ni za mchongo. Ila za Simba ni za ukweli kabisa. Hata penati ya dhidi ya Ruvu Shooting nayo ilikuwa ya mchongo plus kadi nyekundu pia ilikuwa ya mchongo.

Ila wanadai Simba inabebwa lakini penati na kadi zote za Simba ni halali, kama uliangalia mechi huwezi kubisha.
 
nimeita kinyaa kwa sababu ya maamuzi yenye kinyaa..

Bila aibu...refa anaamua penati kabisa hata akili ya mtoto mdogo inakataa..

Sidhani kama ni hakuona ukweli wa namna beki alivyocheza....refa hakua mbali na tukio... Hata kama refa alisubiria tukio hilo si kwa kwa uwazi ule...

Azam Tv wamewekeza ktk live matches.. tukiamini tunapiga hatua soka lakini maamuzi kama haya hutamani kuangalia baadhi ya mechi ..je energy na muda wa maandalizi yanaaamuliwa kwa style hizi..

Lakini TFF wanafanyaje kwa maamuzi kama haya..

Ni adhabu wanatoa..kumfungia mtu mechibtu.... Lakini kwa nini inajirudia rudia.

Tutegemee nini level ya national team kupiga hatua.....

Akili za TFF , ....Hakuna weledi, hakuna maono...

Tutabaki tu kuwa watazamaji ktk international stages kwa sababu soccer culture yetu....Nani saratani wa soka la tz..

inatosha au ndo tuendelee na soka letu hivi.....
Yanga daimaaaaaa
 
nimeita kinyaa kwa sababu ya maamuzi yenye kinyaa..
Bila aibu...refa anaamua penati kabisa hata akili ya mtoto mdogo inakataa..
Sidhani kama ni hakuona ukweli wa namna beki alivyocheza....refa hakua mbali na tukio... Hata kama refa alisubiria tukio hilo si kwa kwa uwazi ule...
Azam Tv wamewekeza ktk live matches.. tukiamini tunapiga hatua soka lakini maamuzi kama haya hutamani kuangalia baadhi ya mechi ..je energy na muda wa maandalizi yanaaamuliwa kwa style hizi..
Lakini TFF wanafanyaje kwa maamuzi kama haya..
Ni adhabu wanatoa..kumfungia mtu mechibtu.... Lakini kwa nini inajirudia rudia.
Tutegemee nini level ya national team kupiga hatua.....
Akili za TFF , ....Hakuna weledi, hakuna maono...
Tutabaki tu kuwa watazamaji ktk international stages kwa sababu soccer culture yetu....Nani saratani wa soka la tz..
inatosha au ndo tuendelee na soka letu hivi.....
Inasikitisha....jamaa kauharibu mpira kabisa....beki aliugusa mpira kwa mguu wa kushoto huku Fei Toto akighushi kwa kujiangusha.....

Leo kwetu kesho tutakuja kuumizwa hivihivi......

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
No comment, something fishy 🐡 ☹️☹️☹️☹️
 
nimeita kinyaa kwa sababu ya maamuzi yenye kinyaa..
Bila aibu...refa anaamua penati kabisa hata akili ya mtoto mdogo inakataa..
Sidhani kama ni hakuona ukweli wa namna beki alivyocheza....refa hakua mbali na tukio... Hata kama refa alisubiria tukio hilo si kwa kwa uwazi ule...
Azam Tv wamewekeza ktk live matches.. tukiamini tunapiga hatua soka lakini maamuzi kama haya hutamani kuangalia baadhi ya mechi ..je energy na muda wa maandalizi yanaaamuliwa kwa style hizi..
Lakini TFF wanafanyaje kwa maamuzi kama haya..
Ni adhabu wanatoa..kumfungia mtu mechibtu.... Lakini kwa nini inajirudia rudia.
Tutegemee nini level ya national team kupiga hatua.....
Akili za TFF , ....Hakuna weledi, hakuna maono...
Tutabaki tu kuwa watazamaji ktk international stages kwa sababu soccer culture yetu....Nani saratani wa soka la tz..
inatosha au ndo tuendelee na soka letu hivi.....
Na wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, kwaiyo leo hii ndo umesikitishwa na penalty waliyopewa yanga ?Tokea ligi imeanza umeiona penalty ya leo tu ndo aikuwa halali nyingine zote ambazo timu nyingine wanapewa uwa ni halali? Kama unao huo uchungu mbona uwa uko kimya unafurahia tu leo umeibuka kusikojulikana unajidai kusikitishwa na penalty ya yanga? Au ndo timu makolo fc umeumia kuona yanga uliyokuwa unategemea ifungwe imeshindikana, Acha mambo ya kipuuzi wewe kuchagua matukio
 
Back
Top Bottom