Kinyaa penati ya Yanga vs Namungo
Alafu ET tunataka kufuzu hiii n aibu mwamuz mwenyew alipteana kabisa Kama alijua Tu ameshalikoroga
 
Washabiki wa Yanga wasiposema ukweli nitaona Kweli Tanzania kuna shida kwenye vichwa vya watu. Inatia kichefuchefu kwa wapenzi wa mpira unaenda kuangalia match ambayo ni rigged. Hii ni match fixation tff wachunguze na Takukuru wanuse kuna harufu ya rushwa
kwani inawauma?
 
Inauma sana, inatia kinyaa. TFF mnaua football ya Tanzania.
Na eti na wao wanataka kwenda Qtavi 2022 nchi yangu kwa vituko tumo

20211102_191308.jpg
 
NUMBERS NEVER LIE
HESABU HAZIONGOPI

1.biashara vs Simba
Simba walipewa penati

2.Dodoma vs Simba ,
Dodoma red card

3.simba vs polisi ,
Simba walipewa penati na polisi red card

4. Simba vs coast , coastl red kadi mapema Sana

5. Simba vs Namungo
Namungo red card

6.Ruvu vs Simba,
Ruvu red card+Penalty

Hawa Simba wamebebwa mechi zote 6


HIYO[emoji115] HOJA NAYO SIJUI TUIJADILI AU TUACHANE NAYO!?
 
NUMBERS NEVER LIE
HESABU HAZIONGOPI


1.biashara vs Simba
Simba walipewa penati

2.Dodoma vs Simba ,
Dodoma red card

3.simba vs polisi ,
Simba walipewa penati na polisi red card

4. Simba vs coast , coastl red kadi mapema Sana

5. Simba vs Namungo
Namungo red card

6.Ruvu vs Simba,
Ruvu red card+Penalty

Hawa Simba wamebebwa mechi zote 6


HIYO[emoji115] HOJA NAYO SIJUI TUIJADILI AU TUACHANE NAYO!?
We are not talking about number here. Ondoa UTOPOLO Wako.
We are talking about football.
TOPOLO WEWE.
 
nimeita kinyaa kwa sababu ya maamuzi yenye kinyaa..
Bila aibu...refa anaamua penati kabisa hata akili ya mtoto mdogo inakataa..
Sidhani kama ni hakuona ukweli wa namna beki alivyocheza....refa hakua mbali na tukio... Hata kama refa alisubiria tukio hilo si kwa kwa uwazi ule...
Azam Tv wamewekeza ktk live matches.. tukiamini tunapiga hatua soka lakini maamuzi kama haya hutamani kuangalia baadhi ya mechi ..je energy na muda wa maandalizi yanaaamuliwa kwa style hizi..
Lakini TFF wanafanyaje kwa maamuzi kama haya..
Ni adhabu wanatoa..kumfungia mtu mechibtu.... Lakini kwa nini inajirudia rudia.
Tutegemee nini level ya national team kupiga hatua.....
Akili za TFF , ....Hakuna weledi, hakuna maono...
Tutabaki tu kuwa watazamaji ktk international stages kwa sababu soccer culture yetu....Nani saratani wa soka la tz..
inatosha au ndo tuendelee na soka letu hivi.....
Huna jipya we ndo kinyaa na huujui mpira kalale uote ndoto za alinacha
 
Habari zilizochini ya capet kuhusu mechi ya leo... Kuna matajiri walimuahidi Refa endapo atatoa sare milioni kadhaa inamsubiri endapo mchezo ukiwa mgumu kwa 🐸... na kama atatoa ushindi kwa 🐸 basi anakula double payment ya milioni kadhaa
Hapa ndipo soka la bongo limefikia na ukitaka uamini check mazingira ya penati na tukio kabla ya kupigwa penant... Lengo la kutoa kadi nyekundu ni kuidhoofisha Namungo ili 🐸 wafunge penati na kuongeza goli jingine...

Refa hizo hela zilizoingia kwenye Akaunt yako laana inakujia

Laana hii haitawaacha Vyura, ubingwa mtausikia kwenye nadharia... Ndezi nyie
 
Back
Top Bottom