SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Pesa za GSM zinatuharibia ligi yetuPenati haijapigwa baadhi ya wachezaji na refa wapo ndani ya 18.
Hii ni aibu kubwa mno kutokea , tunajua refa kapewa bahasha lakini si kwa aibu hii.View attachment 2017823
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app