Alafu ET tunataka kufuzu hiii n aibu mwamuz mwenyew alipteana kabisa Kama alijua Tu ameshalikoroga
 
kwani inawauma?
 
NUMBERS NEVER LIE
HESABU HAZIONGOPI

1.biashara vs Simba
Simba walipewa penati

2.Dodoma vs Simba ,
Dodoma red card

3.simba vs polisi ,
Simba walipewa penati na polisi red card

4. Simba vs coast , coastl red kadi mapema Sana

5. Simba vs Namungo
Namungo red card

6.Ruvu vs Simba,
Ruvu red card+Penalty

Hawa Simba wamebebwa mechi zote 6


HIYO[emoji115] HOJA NAYO SIJUI TUIJADILI AU TUACHANE NAYO!?
 
We are not talking about number here. Ondoa UTOPOLO Wako.
We are talking about football.
TOPOLO WEWE.
 
Huna jipya we ndo kinyaa na huujui mpira kalale uote ndoto za alinacha
 
makolo mliwahi kuomba eti lefa atoke nje ya nchi
 
Habari zilizochini ya capet kuhusu mechi ya leo... Kuna matajiri walimuahidi Refa endapo atatoa sare milioni kadhaa inamsubiri endapo mchezo ukiwa mgumu kwa ๐Ÿธ... na kama atatoa ushindi kwa ๐Ÿธ basi anakula double payment ya milioni kadhaa
Hapa ndipo soka la bongo limefikia na ukitaka uamini check mazingira ya penati na tukio kabla ya kupigwa penant... Lengo la kutoa kadi nyekundu ni kuidhoofisha Namungo ili ๐Ÿธ wafunge penati na kuongeza goli jingine...

Refa hizo hela zilizoingia kwenye Akaunt yako laana inakujia

Laana hii haitawaacha Vyura, ubingwa mtausikia kwenye nadharia... Ndezi nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ