balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hasa kale ka Mr Silim kale ka Ally Kamwe.Halafu wanashindwa pia kuelewa filimbi ilipolia Saido akaenda kupiga ndipo wachezaji wengine waliondoka naye na Saido hakupiga moja kwa moja ,alitisha kidogo ndo akapiga.Kuna yale machambuzi pale azam yale ni makolo kabisa ndo yamewalisha watu matango pori.
Ukiacha usimba na uyanga,ile penati haiwezi kuhalalishwa Kwa sababu zozote zile.Namna ilivyopatikana na jinsi ilivyopigwa ni uhuni mtupu.kwa mtindo huu,Itabidi TFF iwe na marefa maalum Kwa ajili ya mechi zinazohusisha Simba na Yanga.NUMBERS NEVER LIE
HESABU HAZIONGOPI
1.biashara vs Simba
Simba walipewa penati
2.Dodoma vs Simba ,
Dodoma red card
3.simba vs polisi ,
Simba walipewa penati na polisi red card
4. Simba vs coast , coastl red kadi mapema Sana
5. Simba vs Namungo
Namungo red card
6.Ruvu vs Simba,
Ruvu red card+Penalty
Hawa Simba wamebebwa mechi zote 6
HIYO[emoji115] HOJA NAYO SIJUI TUIJADILI AU TUACHANE NAYO!?
Mnasemaga hivo hivo mwishowe mnachezea nyie. Game la jana ni kweli timu ilicheza chini ya kiwango lkn usijifariji dec 11 itakua hivoSasa usimind ndugu kipigo Tareh 11 kipo palepale hivyo Christmas mtakuwa mshatolewa
Kwa povu hili ni wazi mikia hamna ubingwa msimu huu...kilichobaki ni kupiga kampeni dhidi ya wananchi na wadau waonimeita kinyaa kwa sababu ya maamuzi yenye kinyaa..
Bila aibu...refa anaamua penati kabisa hata akili ya mtoto mdogo inakataa..
Sidhani kama ni hakuona ukweli wa namna beki alivyocheza....refa hakua mbali na tukio... Hata kama refa alisubiria tukio hilo si kwa kwa uwazi ule...
Azam Tv wamewekeza ktk live matches.. tukiamini tunapiga hatua soka lakini maamuzi kama haya hutamani kuangalia baadhi ya mechi ..je energy na muda wa maandalizi yanaaamuliwa kwa style hizi..
Lakini TFF wanafanyaje kwa maamuzi kama haya..
Ni adhabu wanatoa..kumfungia mtu mechibtu.... Lakini kwa nini inajirudia rudia.
Tutegemee nini level ya national team kupiga hatua.....
Akili za TFF , ....Hakuna weledi, hakuna maono...
Tutabaki tu kuwa watazamaji ktk international stages kwa sababu soccer culture yetu....Nani saratani wa soka la tz..
inatosha au ndo tuendelee na soka letu hivi.....
Wapumbavu Sana ,wengine hawajaangalia mpira wanaongea kwa kusikia hearsay,yule mchezaji wa Namungo alitumia nguvu nyingi,kapiga mpira na mguu.Kumbuka wachezaji wa Namungo walikuwa wawili na mpira alikuwa nao Fei.Nguvu ilikuwa excessive .
Hasa kale ka Mr Silim kale ka Ally Kamwe.Halafu wanashindwa pia kuelewa filimbi ilipolia Saido akaenda kupiga ndipo wachezaji wengine waliondoka naye na Saido hakupiga moja kwa moja ,alitisha kidogo ndo akapiga.
Acheni kelele na unafiki wenu. Hamkuona Feisal kaangushwa kwa kuchwzewa rafu.
Mmezoea kubebwa sasa mnadhani wofe wanabebwa. Nonsense
Na wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, kwaiyo leo hii ndo umesikitishwa na penalty waliyopewa yanga ?Tokea ligi imeanza umeiona penalty ya leo tu ndo aikuwa halali nyingine zote ambazo timu nyingine wanapewa uwa ni halali? Kama unao huo uchungu mbona uwa uko kimya unafurahia tu leo umeibuka kusikojulikana unajidai kusikitishwa na penalty ya yanga? Au ndo timu makolo fc umeumia kuona yanga uliyokuwa unategemea ifungwe imeshindikana, Acha mambo ya kipuuzi wewe kuchagua matukio
NUMBERS NEVER LIE
HESABU HAZIONGOPI
1.biashara vs Simba
Simba walipewa penati
2.Dodoma vs Simba ,
Dodoma red card
3.simba vs polisi ,
Simba walipewa penati na polisi red card
4. Simba vs coast , coastl red kadi mapema Sana
5. Simba vs Namungo
Namungo red card
6.Ruvu vs Simba,
Ruvu red card+Penalty
Hawa Simba wamebebwa mechi zote 6
HIYO[emoji115] HOJA NAYO SIJUI TUIJADILI AU TUACHANE NAYO!?
kwa hiyo kama Simba alipewa penati,so what!! usikute huyu fala ni mwamuziNUMBERS NEVER LIE
HESABU HAZIONGOPI
1.biashara vs Simba
Simba walipewa penati
2.Dodoma vs Simba ,
Dodoma red card
3.simba vs polisi ,
Simba walipewa penati na polisi red card
4. Simba vs coast , coastl red kadi mapema Sana
5. Simba vs Namungo
Namungo red card
6.Ruvu vs Simba,
Ruvu red card+Penalty
Hawa Simba wamebebwa mechi zote 6
HIYO[emoji115] HOJA NAYO SIJUI TUIJADILI AU TUACHANE NAYO!?
Kale ndimu.[emoji23]nimeita kinyaa kwa sababu ya maamuzi yenye kinyaa..
Bila aibu...refa anaamua penati kabisa hata akili ya mtoto mdogo inakataa..
Sidhani kama ni hakuona ukweli wa namna beki alivyocheza....refa hakua mbali na tukio... Hata kama refa alisubiria tukio hilo si kwa kwa uwazi ule...
Azam Tv wamewekeza ktk live matches.. tukiamini tunapiga hatua soka lakini maamuzi kama haya hutamani kuangalia baadhi ya mechi ..je energy na muda wa maandalizi yanaaamuliwa kwa style hizi..
Lakini TFF wanafanyaje kwa maamuzi kama haya..
Ni adhabu wanatoa..kumfungia mtu mechibtu.... Lakini kwa nini inajirudia rudia.
Tutegemee nini level ya national team kupiga hatua.....
Akili za TFF , ....Hakuna weledi, hakuna maono...
Tutabaki tu kuwa watazamaji ktk international stages kwa sababu soccer culture yetu....Nani saratani wa soka la tz..
inatosha au ndo tuendelee na soka letu hivi.....
Ukiwa huelewi jambo kaa kimya utaonekana una busara kidogo, mpira ungekuwa unachezwa bafuni kwenu tungejaribu kukusikiliza, nikukumbushe tuu, ukitaka uchambue kitu na ueleweke andika uhalisia, ushabiki maandazi weka kando watu watakuelewa tuuNUMBERS NEVER LIE
HESABU HAZIONGOPI
1.biashara vs Simba
Simba walipewa penati
2.Dodoma vs Simba ,
Dodoma red card
3.simba vs polisi ,
Simba walipewa penati na polisi red card
4. Simba vs coast , coastl red kadi mapema Sana
5. Simba vs Namungo
Namungo red card
6.Ruvu vs Simba,
Ruvu red card+Penalty
Hawa Simba wamebebwa mechi zote 6
HIYO[emoji115] HOJA NAYO SIJUI TUIJADILI AU TUACHANE NAYO!?
Basi fanyeni tumepewa penalty, tuuweni sasa.Acha utahira wewe!
Haya tufanye Faisal aliangushwa kweli!
Je upigaji penalt ndiyo unavyokuwa hivi??
View attachment 2018397