Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Tatizo hizo spirits zote inatakiwa uchanganye na club soda, tonic, limau na barafu... Kama vile unavyokunywa whiskey sasa mtu anaipiga kavu unategemea nini hapo??
Mkuu sio kwa hiyo double kick!!wewe changanya uchanganyavyo lakini zikifika 3, ukipona wewe kidume!!ukiona pombe hata vijana wa bodaboda wanaiogopa, ujue ni hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…