ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
.Hebu weka picha yake, au weka hata picha ya gari analoendesha
kwa jamii yake hamna, ila kuna variety zinaenda 80+Kuna vilevi vina % kubwa zaidi ya hiki?View attachment 2143718
Kha! hiyo ukinywa sasa si unageuka AI(Artificial Intelligence) mzeeKuna nyingine pia inaitwa Robot
Daaah..zaidi na moshi..mwisho wasiku vijana watapata shida sana.Double kick a.k.a portable cane spirit ukimaliza vile vichupa viwili alafu utembee juani lazima damu zitoke puani.
Hiyo hapo.Hebu weka picha yake, au weka hata picha ya gari analoendesha
Hii si kifo kabisa...hii hata ukiweka kwenye injini ya ndege inawaka.
Double kick ina 43%..Mkuu Kuna bia ilikuwa inaitwa BINGWA ilikuwa balaa sanaa maana alcohol ilikuwa 7%
Wacha ukuda.umuone ili iweje,kama huamini pita hivi.Bila picha au video ya huyo jamaa yako ...tutajua we muongo. Weka hapa tumwone.
kuna manzi mmoja ni ticha tulitokea kufahamiana tu ,sasa katika kupiga piga story akanambia anakunywaga hizi pombe kali nikamjibu na mm pia ni mdau
Kwa nin mnakunywa haya mataputapu?kuna manzi mmoja ni ticha tulitokea kufahamiana tu ,sasa katika kupiga piga story akanambia anakunywaga hizi pombe kali nikamjibu na mm pia ni mdau
jmoc nikamstua twende viwanja ,tumefika tukaagiza kvant kubwa tukawa tunajipigia kimtindo hadi ikaisha hakuna aliyelewa,bas bana nikaagiza huyu mdudu chupa mbili kila mmoja akapiga yake.
ile tumemaliza nashangaa madam analia tuu kuuliz vipi hajibu anadai kiti kinazunguka,nikamchukua nikamtoa pale hadi lodge kuchakata kumbe stim zimemzidia kazima nikaanza FIRST AID
sitosahau afu (alijikojolea)
Wenyewe wanaita shot..ukienda kwenye vituo vya daladala hasa vya mbezi na kimara wapiga debe ndio chakula Chao hicho.Wanapima mpaka kipimo cha Mia tano na buku
Wameliwa hazinaYaan kichupa cha 200mls lazima uzime baadhi ya walevi wamepoteza ubikira
Nimcheka Sana duhNa wengi wanazima mazima hawajitambui mpaka kesho yake. Anastuka anakutana na "utelezi" mlango taka.
Kumbe hii ndio dawa iwapo mtu unasumbuka kupata choo!Kimoja tu humalizi. Lazima unnye
Mwamba huna huruma unaenda kuchakata ???kuna manzi mmoja ni ticha tulitokea kufahamiana tu ,sasa katika kupiga piga story akanambia anakunywaga hizi pombe kali nikamjibu na mm pia ni mdau
jmoc nikamstua twende viwanja ,tumefika tukaagiza kvant kubwa tukawa tunajipigia kimtindo hadi ikaisha hakuna aliyelewa,bas bana nikaagiza huyu mdudu chupa mbili kila mmoja akapiga yake.
ile tumemaliza nashangaa madam analia tuu kuuliz vipi hajibu anadai kiti kinazunguka,nikamchukua nikamtoa pale hadi lodge kuchakata kumbe stim zimemzidia kazima nikaanza FIRST AID
sitosahau afu (alijikojolea)
Don - Jina lake tu la kimafia mafia!Hiii hapa... View attachment 2143788