Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Kwa watu kuanzia miaka hamsini ina athiri mishipa ya fahamu (nerves) na hii ni madhara ya kunywa pombe iliyotengenezwa na ethanol yenye kiwango kikubwa cha kilevi (alcohol percentage)
 
Endeleeni kunywa, tutakaowazika ni sisi sisi....[emoji1][emoji1]
 
Pombe nyingine ni takataka nilikunywa K-vant koo linakauka kiu yake utafikiri umekula nyama ya kunguru, mpaka macho yanakauka. Hapo bado hangover
Hii sio starehe kabisa. Kilevi kikizidi mwilini kinakuwa sumu ni hatari sana unakufa ghafla
 
Gadner kwenye page yake instagram nimeona anahamasisha vijana wapike supu na michemsho kwa kutumia Serengeti Premium Lager...hii imekaaje?
 
Kam yangu siku moja demu kaja kunitembelee kanikuta natumia nyagi huwa sipendi kukozekana kvant kubwa au nyagi kubwa geto bas bhana napiga mdogo mdogo akanimbia mbna unakunywa mdgo mdgo akashika glass akabugia mdomo nusu glass HV duh nikaona duh kumbe huyu mtot anamudu pombe Kali nakamuongezea Tena nusu glass akakata yote duh nilibadki naduwaa siku zote sijawai kujuwa Kama anatumia basi baada kama dkk tano HV nilianza kuona magizo yake Mara afungulie radio kwa saut kubwa Mara aongee Kam mlevi .nikasema asinichezee huyu leo antanipa zotee[emoji3] uchakataji niliyompa awez sahau n[emoji2956]aliitafunwa haswaaa


Pombe siyo chai
 
Ahahaha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha uoga wee hzo bia siyo ishu Ni rais San bia kufloat na usijue kuwa Ni mbovu tumia angalau nyagi na kvant
Hapana kwakweli kwanza mimi si mnywaj hata hizo bia nakunywa chache, nikitumia spirits, gins, whisky kesho yake hata nikinywa maji siyahisi kama yanapita koon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…