Kioja cha Tanzania kuogopa Waarabu kimetoka wapi?

Who was behind the buying of slaves in Zanzibar.Arabs or Europeans.Ofcourse it is Europeans.Why that has melted away wtih time.Why Arabs are mentioned every where concerning this slave trade forgetiing the real doers of the trade.
 
Who was behind the buying of slaves in Zanzibar.Arabs or Europeans.Ofcourse it is Europeans.Why that has melted away wtih time.Why Arabs are mentioned every where concerning this slave trade forgetiing the real doers of the trade.
Which planet are you from from ?

Africa hasn't rid itself of the hangover of colonial legacy, you can put this in the bank. You're being complacent because you suffer from a dangerous malady called Political Amnesia. Back in early 2000's voices like these were raised, when the White Government of America wanted to turn Kigamboni into a naval and a spy-base like Camp Limonnier at Djibouti.

Due to security concerns the plan ended up in a pipeline, all thanks to God for shrewd people like Col Apson Mwang'onda and other bureaucrats who put country first above flattery and big paychecks.

To this day Arabs still linger on their medieval slavery mindset, a good example is what is happening in Mauritius and Libya after the fall of Ghaddafi's regime. The UAE cannot even treat its neighbour like Yemen with dignity, their Emir has launched a brutal invasion killing women and children with impunity. Why would any sane government want to associate themselves with people like that ?

I say it again, unless you're a religious fanatic, you'd view this transaction with great skepticism...
 
hii yote kuwa na rais mjinga mjinga ndo shida.
 
kitovu cha biashara ya utumwa ni Uarabuni
Maarifa ya jamii 5 TET
 
Mama kahusika vipi kuwaweka hapo.Ni ujinga wako tu unaokwambia hivyo.Suala limepita bungeni kwenye watu wenye akili kuliko wewe.
Kwani yule msomi kuliko wote Tanzania mwenye digrii tisa, yupo bungeni?
Na sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika. Kuwa na akili kuliko wote siyo sifa ya mbunge wa JMT.
 
Obama (mwafrika) alichaguliwa kuwa Rais wa marekani, wakati Sunak(mhindi) ni waziri mkuu wa Uingereza.
Hebu fikiria nini kitatokea ikiwa mhindi au mwarabu au mchina atagombea urais wa Tanzania.
 
Alafu ukute ni mashabiki wa yanga, huku wanalia Nabi kuondoka kule hawataki mwarabu kuingia bandarini! Hii ni double standard
 
Obama (mwafrika) alichaguliwa kuwa Rais wa marekani, wakati Sunak(mhindi) ni waziri mkuu wa Uingereza.
Hebu fikiria nini kitatokea ikiwa mhindi au mwarabu au mchina atagombea urais wa Tanzania.
Siyo tu Tanzania mkuu, nchi za kijamaa Zina mambo ya kipuuzi sana! Atokee mtu mweusi akagombee uraisi Russia(samahani kwa mashabiki wa Russia), hiyo siku anatangaza tu atatumiwa bomu la sumu litapita Hadi kitandani kwake kummalizia hapo hapo! ujamaa ni upimbi wa Hali ya juu kuwahi kuruthishwa! Yaani unajenga chuki na matajiri bila sababu ya msingi! Leo hii mtu kama MO angeteuliwa kuwa Waziri wa fedha ndiyo ungewajua waTZ ni watu wa aina Gani! Wenyewe tumepandikizwa mbegu kwamba kabila Fulani(mbaya zaidi zimekuwa cited zile zilizoendelea) hazitakiwi kutoa raisi wa TZ! Zinatakiwa kabila za nyuma ndiyo ziongoze! Upumbavu wa Hali ya SGR
 
Watu wame rise hoja juu ya mapungufu ya mkataba alaf wew unakuja na hoja za kijinga.

Jibuni maswali kuhusu mkataba. Ukiona mmeshindwa kuyajibu ndipo inatupa mashaka kwamba mmewapa warabu kwa sababu ni wajomba zenu. Mbaya zaidi tunawafahamu warabu walivyo wabaguzi wa dini kwenye suala la ajira.

Ninyi wa humu Jf tutashughulika na ninyi kisawasawa maana tunawamudu.
 
Jamaa huwa wanatangaza na Dini yao kabisa,hapo ndiko kwenye shida huku kwingine ni zuga tu.
We angalia Ulaya jamaa waliwapokea Kama wakimbizi Sasa wanaeneza Dini yao kwa Kasi sana.
 
Kelele hatutaki
 

Attachments

  • 69480.jpg
    14.9 KB · Views: 5
Ungejifunza na kufahamu kwanza kwa nini aliitwa tip tip
 
Shida masharti ya mkataba, sio uarabu au uislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…