Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MISOGYNISTKaz gni amefanya hangaya kuuza bandar I na ngorongoro
Chuki ni laana...Nchi kwa sasa inaongozwa na Abdul na Mchengerwa, wengine ni wasaidizi tu
Achana na Uswahili wako
Hayati JPM (Rip) alikuwa anakwenda sana Chato nyumbani kwao....Hatufiki. Hakuna kiongozi hapa wananchi wajue hivyo
Siachani nao kwa kuwa ninaongea kiswahili nawe HUKIPENDI kiswahili ila umekiandika hapa...Achana na Uswahili wako
Yatakushinda 😂😂😂😂Kiongozi gani huyo? Atakuwa hana akili.
Hakunaga kinyume kwenye ukweli.
Nongwa za kijinga kama sio upumbavuKiongozi Mkuu wa Nchi ni nyenzo muhimu ya kupeleka maendeleo mbele. Sio tu kiongozi lakini anabeba maono mapana ya nchi. Kiongozi Mkuu wa Nchi anatakiwa kuwa mwenye fikra pevu kuliko wasaidizi wake kwa maana ya kwamba hata akishauriwa anakuwa na uwezo mpana kwa kuchuja ushauri kabla ya kuamua.
Technically, Kiongozi wa aina hii lazima awe na muda wa kukaa kutafakari. Cha kushangaza unakuta Kiongozi Mkuu wa nchi fulani anakaa kuadhimisha matamasha kwa siku zaidi ya tatu kwa nchi yenye changamoto za kutosha. Kwa mwenendo huu safari ni ndefu. Akimaliza hapo ni warsha, kongamano, uzinduzi na ziara.
Nambari 11 kinyume chake ni nambari 11....Hakunaga kinyume kwenye ukweli.
Kwani chato siyo Tanzania?Mbaguzi mkubwa wewe...
Ubaguzi ni laana...
Kwani wazanzibari si watanzania ?!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huo uchawa mwsho ushoga jifanyeni hamuambiliki.Nambari 11 kinyume chake ni nambari 11....
#JMT milele dumu[emoji7]
#Rais ni tunu yetu[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tofautisha kiswahili na Uswahili, tatizo lako ni mhitimu wa shule za kataSiachani nao kwa kuwa ninaongea kiswahili nawe HUKIPENDI kiswahili ila umekiandika hapa...
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa yeye ni Mungu ?Akili za ajabu kweli [emoji1787][emoji1787]
Alipokwenda huko Kizimkazi kwani urais wake aliuacha jijini DODOMA ?!!
Rais ni TAASISI....halali huyo...yuko macho 24 hrs....wewe utakwenda kulala yeye toka achaguliwe hajawahi kulala hata dakika 1....
Mh.Rais SSH anafanya kazi ngumu sana kwani mimi urais siutaki....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app