Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Hivi tofauti ya shia na Sunni ni nn? Mimi najua wote magaidi tu au?
Shia na Sunni ni maadui wakufa na kuuana; mfano mzuri ni Pakistani. Shida kubwa ni Sunni ambao hufundisha watoto wao kuwa Shia siyo waislam. Shia wao wanashikilia kuwa urithi wa kuendeleza uislam ulitakiwa apewa mtu wa ukoo wa Mohammad, Ali/Hussein badala ya Maswahaba. Na wanapinga kabisa nafasi aliyopewa Aisha, kale kabinti ka miaka 6 alichokaoa Mohammad. Kwa Ugaidi Sunni ndiyo Baba yao. Irani anaye champion Ushia shida yake amekomalia pale pale kwenye mafundisho ya Quran ya kutolitambua Taifa la Israel. Baadhi ya nchi za Kisunni kama UAE, SAUDIA MOROCCO NA EGYPT serikali zao wamesoma alama za nyakati na ku soften msimao huo. Sasa kwakuwa Wapalestina ambao ni SUNNI na wao wameendelea kubaki kwenye upumbavu wao wa Kiqurani wa kuliangamiza Taifa la Israel na wayahudi, msimamo huo ndiyo unawaleta pamoja na Iran 🇮🇷 SHIA ambao ni mahasimu wao kidini.
Hii ndiyo inafanya usisikie maandamano hata kidogo ya kuunga mkono Hamasi huko Saudia na UAE
 
Hamas wamefeli pakubwa mno, wameshindwaje kumlinda kiongozi wao Mkuu? Sasa kama kiongozi kauawa kuna nini tena? Warushe taulo basi.
Hamas sio anti baraka dada.
Na kama ulikua hujui Haniyeh sio kiongozi wa kwanza kufariki.
Kuna makundi matatu ndani ya Hamas hivyo si rahisi Hamas kuanguka kama unavyodhani.
 
Majukumu ya kumlinda alikabidhiwa Iran. Ofisi zao zilihamishiwa Baghdad kutokea Doha Qatar.

Kwa vyovyote vile kauzwa. Pale Iraq, Sunni pamoja na Kurds hawakutaka ofisi za Hamas zihamishiwe Iraq.

Kwahiyo ina maana kuna waliouza movements zake na ku share intelligence na MOSSAD.

Mbaya zaidi, ameuwawa ndani ya Taifa lilotakiwa kuhakikisha ulinzi na usalama wake.

Tena siku ya kuapisha rais wao mpya ambapo ulinzi ulitakiwa uwe wa hali ya juu kabisa!
Deep sana
 
Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.

Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.

Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.

View attachment 3057258

Usicheze na MOSSAD
Hii ni kawaida,Haniyeh sio kiongozi wa kwanza wa Hamas kuuawa.
Na mpaka leo haikuathiri operation zozote za Hamas.
Mkidhani mmewatia ulemavu Hamas ndio kwanza hasira ya kisasi imeamshwa.
Mbaya zaidi Israel imeua na kamanda wa Hizbollah.
Nadhani tusubiri tuone majibu yatakayotolewa,ila kisasi kitalipwa.
Tehran kuna wayahudi zaidi ya laki 8 hivyo tukio kufanyika ni rahisi.
 
Nawaza siku Netanyahu wakimdaka watamchuna pumbv akiwa hai.

Safi sana wana wa Israel.
 
Viongozi Watatu wa juu wa Hamas yani Mousa Marzouk, Khaled Mashal na Ismail Haniyeh wana utajiri wa sawa na Tsh Trilioni 27. Tena wao na familia zao hawaishi Gaza, bali wanaishi Qatar kwenye Majumba ya kifahari. Wanaouawa na Wanaopata tabu ni raia wasiokuwa na hatia.
Kafika mwisho wake
 
Shia na Sunni ni maadui wakufa na kuuana; mfano mzuri ni Pakistani. Shida kubwa ni Sunni ambao hufundisha watoto wao kuwa Shia siyo waislam. Shia wao wanashikilia kuwa urithi wa kuendeleza uislam ulitakiwa apewa mtu wa ukoo wa Mohammad, Ali/Hussein badala ya Maswahaba. Na wanapinga kabisa nafasi aliyopewa Aisha, kale kabinti ka miaka 6 alichokaoa Mohammad. Kwa Ugaidi Sunni ndiyo Baba yao. Irani anaye champion Ushia shida yake amekomalia pale pale kwenye mafundisho ya Quran ya kutolitambua Taifa la Israel. Baadhi ya nchi za Kisunni kama UAE, SAUDIA MOROCCO NA EGYPT serikali zao wamesoma alama za nyakati na ku soften msimao huo. Sasa kwakuwa Wapalestina ambao ni SUNNI na wao wameendelea kubaki kwenye upumbavu wao wa Kiqurani wa kuliangamiza Taifa la Israel na wayahudi, msimamo huo ndiyo unawaleta pamoja na Iran 🇮🇷 SHIA ambao ni mahasimu wao kidini.
Hii ndiyo inafanya usisikie maandamano hata kidogo ya kuunga mkono Hamasi huko Saudia na UAE
I never knew this before! Kumbe ni mambo ya kijinga tu. ASANTE MKUU WANGU
 
Kujifariji ni kawaida na inatakiwa.Lakini ni uhakika hatakuwa sawa 100% kama aliyetangulizwa. Tena ujue hata huyo mbadala naye watapita naye.
Mkuu labda kama Hamas umeanza kuifuatilia juzi.
Alikufa Yasser Arafat kila mmoja alisema harakati za Palestina kuwa huru zimeshakufa,ila hadi leo harakati zimepamba moto.
Hao sio wamakonde mzee.
Yani wakipotelewa na mtu muhimu wanakua makini zaidi ya kawaida.
Anachofanya Israel hakina impact yeyote ile,maana kuua viongozi hajaanza leo ila Hamas iko palepale na inaimarika zaidi.
 

Air attack targeted Haniyeh in early hours of morning: Reports​


Iranian media are reporting that the Hamas leader was killed by an “airborne guided projectile” that hit the residence where he was staying in the north of the capital, Tehran.

Nimewahi kusema hili Swala la Rais wa Tanzania kukaa na viongozi wote Jukwaa moja liangaliwe upya technology imekuwa sana
 
Duh, kauawawa kwa njia ya Mungu?
Aliyefadhili mauaji ya mayahidi oktoba 7 ni mwana wa Mungu?
Unapaswa utambue kabla ya shambulio la Oktoba 7 mnamo August wayahudi washenzi wasio na utu walikua wanavamia mashamba ya wapalestina na kupora mali zao na kuvunja nyumba zao.
Je hili unalitambua!?
 
Hii ni kawaida,Haniyeh sio kiongozi wa kwanza wa Hamas kuuawa.
Na mpaka leo haikuathiri operation zozote za Hamas.
Mkidhani mmewatia ulemavu Hamas ndio kwanza hasira ya kisasi imeamshwa.
Mbaya zaidi Israel imeua na kamanda wa Hizbollah.
Nadhani tusubiri tuone majibu yatakayotolewa,ila kisasi kitalipwa.
Tehran kuna wayahudi zaidi ya laki 8 hivyo tukio kufanyika ni rahisi.
Quote: "Hii ni kawaida, Haniyeh sio kiongozi wa kwanza wa Hamas kuuawa."
Kwa hiyo wameshazoea kuuawa. Kumbe wanafurahia kuuawa. Hiyo ahadi hewa ya mabikra 72 na mito ya pombe inawaponza mno.
 
Unapaswa utambue kabla ya shambulio la Oktoba 7 mnamo August wayahudi washenzi wasio na utu walikua wanavamia mashamba ya wapalestina na kupora mali zao na kuvunja nyumba zao.
Je hili unalitambua!?
Unapaswa kutambua kabla ya Wayahudi/ Ma- setla wa kiyahudi walipigwa na nchi sita ya magaidi ya kiislamu na yaliteketezwa hayo magaidi na misri wakasaini mkataba wa amani.
 
Quote: "Hii ni kawaida, Haniyeh sio kiongozi wa kwanza wa Hamas kuuawa."
Kwa hiyo wameshazoea kuuawa. Kumbe wanafurahia kuuawa. Hiyo ahadi hewa ya mabikra 72 na mito ya pombe inawaponza mno.
Nilichomaanisha hilo sio tukio la kuwavunja nguvu Hamas.
 
Bila Uingereza kufosi waIsrael kuishi na waPalestina, Hamas ingekuwepo leo 2024??
 
Back
Top Bottom