The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Mkuu naelewa hisia zako usijali wamepata wa kuwapa kifinyo.Waarabu ni "WANGESE NASA",,nikikumbuka walivotesa babu ze2,na wanavotesa dada ze2 wanaofnya kazi kwao!!!! da!!! mamamamaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wapo kweny TArget sema collateral damage itakuwa kubwa, drones zinawasubiri wasoge kidogo tu.Bado Hassan Nasralah yule wa Hezbolah
hapana ile ilikua act of violence tofauti kabisa na panya buku wanaoshugulikiwa hapo middle east
Kwani Mungu ni mwanaume unavyouliza ana mke? Kwanini usiulize "Mungu ana mume"?
#Ficha uchi wako na aibu ndogo ndogo.
Lebanon hakuna wayahudi kama Iran.Huyu kutoka sasa kila atakakoenda humkuti nje ya nikabu (lile vazi la kufunika uso wote) na viatu mchuchumio.
Jana nilishangaa sana kuona Gaidi anahudhuria kuaposhwa kwa Raisi mtumwa wa Allah and wana chant kifo kwa Israel and America.. hawajui wanakuwa wanatangaza vita na Allah wao.. aliyewapa Watu wa Musa Ardhi..
View: https://x.com/visegrad24/status/1818327138883498100
Hawa watu furaha yao hudumu kwa muda mfupi sana
Kifo kwa Israel hivyo ndivyo wanavyosema.
View: https://x.com/visegrad24/status/1818327138883498100
Hawa watu furaha yao hudumu kwa muda mfupi sana
Houth tangu waangushiwe lile jumba bovu juzi kati hapa mpaka leo hawamini amini macho yao, Yahudi mtu mbadi sanaaaa katili ,kunjani vibaya mnoHouthi mbona kimya sana? Wanamuangusha Allah asiye na Spirit
Israel alirudi nyumbani kwenye ardhi ya mababu zake kina Ibrahim,Isaka na Yakobo.Bila Uingereza kufosi waIsrael kuishi na waPalestina, Hamas ingekuwepo leo 2024??
1.Russia.
2. Korea ya Kiduku.
3. China.
4. Iran.
5. Cuba
6. Syria, lebanon, Iraq, Kuwait, Yemen, Egpty, na vijinvhi vingine kama 80 vimeshindwa kuua kiongozi yeyote wa Mayahudi.
Atakayezidiwa atatoa sauti ya kuomba msaada ili asikilizwe. Sisi tuendelee kusubiria hadi sauti itakaposikika. Amina.Hamna kitu..Kuuawa Kiongozi wa Kundi la watu waliokata tamaa ya Maisha wakiamini kuwa hawana cha kupoteza hata wakifa siyo tija.Kikubwa mazungumzo ya amani mezani.Wataendelea kuleta damage tu..Kwa sasa na wao wanajipanga walipize kisasi..Lini na kwa njia ipi linabaki kuwa fumbo la imani.
Waarabu ni "WANGESE NASA",,nikikumbuka walivotesa babu ze2,na wanavotesa dada ze2 wanaofnya kazi kwao!!!! da!!! mamamamaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ni kama anasema, Iran naweza kuwapigia hata huyo Rais wenu mteule hapohapo nyumbani kwenuKatika hali isiyotegemewa, Israel imeamua kuanza winda vichwa vya nyoka.
Siku ya jana walishambulia na kuua wakubwa huko Lebanon
Waliouawa ni COS wa Hezbollah Bwana Shukr
Isivyotegemea kapiga ndani ya Iran na kumuua Kiongozi wa Hamas Haniyeh
Israel kaona njia pekee ni kuwatoa viongozi.
Jana nilishangaa sana kuona Gaidi anahudhuria kuaposhwa kwa Raisi mtumwa wa Allah and wana chant kifo kwa Israel and America.. hawajui wanakuwa wanatangaza vita na Allah wao.. aliyewapa Watu wa Musa Ardhi..
And kwa Dalili zote wanazoziona na kukutana nazo hawaamini Dini zao?
Wayahudi hawakukosea kuwaita wapingaji wote ni Makafiri
Dah!....hawa wazayuni wanaweza kufanya lolote ndani ya ardhi ya Iran na wasigundulike.Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.
Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.
Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.
View attachment 3057258
Usicheze na MOSSAD
Hahaha Houthi nadhani wamestuka wakiendelea the next ni Viongozi wao.. wamepewa mwana ukome moja tu wameanguka chini chaliHouth tangu waangushiwe lile jumba bovu juzi kati hapa mpaka leo hawamini amini macho yao, Yahudi mtu mbadi sanaaaa katili ,kunjani vibaya mno
wametulia, hawataki tena ugomvi.Houth tangu waangushiwe lile jumba bovu juzi kati hapa mpaka leo hawamini amini macho yao, Yahudi mtu mbadi sanaaaa katili ,kunjani vibaya mno