Hahaha Houthi nadhani wamestuka wakiendelea the next ni Viongozi wao.. wamepewa mwana ukome moja tu wameanguka chini chali
Hahaha Houthi nadhani wamestuka wakiendelea the next ni Viongozi wao.. wamepewa mwana ukome moja tu wameanguka chini chali
Russia na USA ndio nchi za Kwanza kuitambua Israel.Russia, North Korea, China, Cuba nk sina uhakika kama zilishawahi kuwa na mgogoro na Israeli kiasi cha kutarget viongozi wa Israeli.
Japo naamini Russia anaweza kuipeleka Vita Israeli na Israeli akasikia sasa yuko vitani, maana naamini Russia ana resources za kutosha na watu wakutosha wenye maarifa maana yake itambidi Israeli naye atumie resources za kutosha kumkabili adui kuliko ilivyo sasa na waarabu maana naamini Israeli anatumia resources chache sana kuwakabili.
Shida ya waarabu hawana technolojia na watu wenye akili zilizokomaa kwenye technolojia ya vita na vifaa vya kivita, vita ya sasa ni technolojia na watu wenye kuijua technolojia, kama huna hivyo vitu basi nikujisumbua sana kupigana na hizi superpower.
Pole sana kwao Hezibola nilisikia ni hatari kuliko wa Hoasi sijui Oasi wale wateka Meli za Russia wanaitwaje?
Houthi wamtulia tu, tangu bandari yao ipopolewe
Hamas hawajafeli chochote. Aliyefeli hapo ni Iran, huwa nawaambia mashabiki oyaoya Iran bado sana kwa Israel.Hamas wamefeli pakubwa mno, wameshindwaje kumlinda kiongozi wao Mkuu? Sasa kama kiongozi kauawa kuna nini tena? Warushe taulo basi.
Mkuu naelewa hisia zako usijali wamepata wa kuwapa kifinyo.
Ndiooooooooooo tena ndioooooooooooMossad wako busy kipindi hiki kuliko wakati wowote.. .
Netanyahu alishakula kiapo kusaka magaidi popote pale walipo
Myahudi hakwepeki mbona waziri mkuu wao aliuliwa ndani ya Israel yule RabbinHamas bawajafeli chochote. Aliyefeli hapo ni Iran, huwa nawaambia mashabiki oyaoya Iran bado sana kwa Israel.
Sasa Haniyeh kauwawa akiwa nyumba za serikali za Iran na ulinzi mkubwa sana. Myahudi hakwepeki
Mzuka utawasaidia nini sasa?....kiufupi Hamas wamepata pigoHii ni hasira ya kushindwa vita huko ghaza kwa style hii ndo wapiganaji wa Hamas watapandisha mzuka wa kufa mtu
Akiuwawa na Wayahudi wenyewe. Si ndio haohao hawakwepeki. Hamas na Hezbollah wana misiba ya jana, Rabbin ana makumi ya miaka kaburini.Myahudi hakwepeki mbona waziri mkuu wao aliuliwa ndani ya Israel yule Rabbin
Porojo kutoka masjid ubwabwa. Nchi yoyote ya kiarabu kama ingefaulu kuishinda Israel basi hilo taifa lisingekuwepo leo.Muongo empty head wewe.
Mkataba wa amani ulikua ni wa camp David Na vita iliyosababisha kuwepo huo mkataba ni Yomkippur war ya 1973,vita ambayo Misri ilimpiga NA ILIMTWANGA Israel na Israel akakimbia Sinai akarudi nyuma na kubakia ni mita mraba chache sana kwaajili ya buffer zone.
Na wakati huo huo Syria ilishambulia kuikomboa Gollan lakini walifeli.
Na ule mkataba wa amani ulikua ni wa sababu zifuatazo;
1)Kuachiwa kwa mateka wa kiyahudi waliopatikanika Sinai ambao walikua jela za Misri.
2)Kurudisha sehemu ya Sinai iliyobaki.
3)Kuacha mashambulizi dhidi ya Syria.
Vita gani hiyo waarabu waliungana mataifa 6!?
Kama unazungumzia Six days war basi ile haikuwa na confrontation bali Israel ililipua Airbase ya Egypt pale Sinai na kuipora Sinai na Gollan heights.
Nenda kasome usitujazie ujinga humu.
Iran wanafeli wapi adui anaingia kwenye mipaka yao anafanya tukio atakavyo na kukamilisha bila kushtukiwa?Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.
Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.
Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.
View attachment 3057258
Usicheze na MOSSAD
kifo cha Rabin ilikuwa shughuri ya ndani,waarabu hawana mkono hapo.Myahudi hakwepeki mbona waziri mkuu wao aliuliwa ndani ya Israel yule Rabbin
Kitendo cha kujisaidia kina shida gani mzee??Hawa hawamuabudu mtu anayekunya , wanakula kifo ni hali ya kila kiumbe. Hasara ni kufa ikiwa unayemwabudu mungu anayekunya hapo utaenda motoni tu
Tayari sasa hivi anajivinjari na mabikra huko. Ni mwendo wa kudinya tu 😂